Biashara ni alternative ya wakosa ajira

Biashara ni alternative ya wakosa ajira

Ata hapa bongo mbona watu wanalipwa millio 15 take home nyumba gari juu ya kampuni. Ni kwambu huku napo inabidi upambane na vitabu sana tuu ili upate hizo kazi.

Sasa take home ya mil 15 kwa bongo hii mkataba say wa miaka 3 sii ulishayapatia maisha
Sasa hiyo kuyapatia maisha si ndio hadi uwe na akili za biashara,vinginevyo mkataba ukiisha utarudi kuwa maskini tena.
Kuna watu wengi tu nawafahamu wanalipwa mishahara ya milioni 6 hadi 15 kwa miaka zaidi ya 10 na bado mtu hajajipata,wengine hata nyumba ya kulala hawana,wengine kila mwezi wana madeni mtu akipokea mshahara hauvuki wiki 2 kashamaliza kisha anatafuta sehemu ya kukopa hela asogeze siku.
Ishu ya msingi hapa sio ukubwa wa mshahara ila ishu ya msingi ni Financial freedom.
Tajiri hata awe anakulipa milioni 50 usijiamini muda wowote anakugeukia na kingine tena ukishakuwa muajiriwa hajalishi ni wa level gani lazima upelekeshwe huwezi kulala na kuamka muda unaotaka wewe,huwezi kukaa nyumbani na familia yako vile upendavyo wewe kwa kifupi lazima uwe mtumwa
 
Hili ni somo lingine pana ukihitaji darasa nitafute kwa muda wako ili mada yetu ya msingi isivurugike.
Najua unataka kuleta mentality kama za walokole wanavyosemaga"utajiri ni kupata uzima wa milele,vyote vilivyopo duniani si kitu"
Nashkuru kwahio kuntajia Mo na Bakhresa kama kigezo cha kipimo chako nakitia kapuni nikiamini kutoboa ni kupambana na kujiposition vzr mahali ulipo
 
Sasa hiyo kuyapatia maisha si ndio hadi uwe na akili za biashara,vinginevyo mkataba ukiisha utarudi kuwa maskini tena.
Kuna watu wengi tu nawafahamu wanalipwa mishahara ya milioni 6 hadi 15 kwa miaka zaidi ya 10 na bado mtu hajajipata,wengine hata nyumba ya kulala hawana,wengine kila mwezi wana madeni mtu akipokea mshahara hauvuki wiki 2 kashamaliza kisha anatafuta sehemu ya kukopa hela asogeze siku.
Ishu ya msingi hapa sio ukubwa wa mshahara ila ishu ya msingi ni Financial freedom.
Tajiri hata awe anakulipa milioni 50 usijiamini muda wowote anakugeukia na kingine tena ukishakuwa muajiriwa hajalishi ni wa level gani lazima upelekeshwe huwezi kulala na kuamka muda unaotaka wewe,huwezi kukaa nyumbani na familia yako vile upendavyo wewe kwa kifupi lazima uwe mtumwa
No depends on ur definition of utumwa bro....ata huyo tajiri pia ukute ni mtumwa wa waganga.
Kama ka,i yako u aifanya alafu u alipwa milkion 50 bro u ataka nini tena hapa duniani?

Wee kama unalipwa mshahara ambao toka tarehe 1 mpaka 31 u aishi bila fstres na fungungu kubwa lina aki kama akiba shida imo wapi. Hapo tayari upo stress free. Bro tusijisahau there are people who live under a dollar a day and here u are talkinga about being paid 50mil per month and u call that utumwa! U have lost touch with reality broo!
 
Back
Top Bottom