Gusa achia twende kwao
JF-Expert Member
- Jan 3, 2025
- 916
- 1,026
Umaskini kwa upande wako unaupima Vp? Na utajiri unaupima Vp?Kwa nini na wewe haujarithi ili uwe kama Mo?Najua hapa utanijibu kwamba baba yako hana mali za kukurithisha ambapo tutarudi palepale kwamba ni mtazamo wa kuanzia Mzazi hadi wewe mwenyewe ndio imeleta umaskini.