Mom Cleo
New Member
- Jul 18, 2019
- 4
- 2
Habari!
Kwa wanaoishi maeneo ya Makuru hapa Dodoma, naomba kujua Kama ni kunafaa kwa biashara ya pombe kali kama konyagi, k vant, blak Gn na kuendelea za kupima lakin, je hilo eneo linafaa kwa biashara hio?
Au Kuna biashara tofauti inayofaa zaidi eneo hilo?
ASANTE
Kwa wanaoishi maeneo ya Makuru hapa Dodoma, naomba kujua Kama ni kunafaa kwa biashara ya pombe kali kama konyagi, k vant, blak Gn na kuendelea za kupima lakin, je hilo eneo linafaa kwa biashara hio?
Au Kuna biashara tofauti inayofaa zaidi eneo hilo?
ASANTE
