9plus4
Member
- Jun 24, 2022
- 85
- 206
Habari za asubuhi wapendwa
Mimi ni kijana umri wangu ni 30years. Natamani kufanya biashara za kutoa bidhaa zanzibar kuja kuuza Dar
Niko interested sana na biashara za Electronics.
Wadau mnaofanya biashara hizi naombeni mnishauri ni bidhaa gani naweza pata kwa bei nzuri na nikaja kupiga hela Dar
Mtaji wangu kwa sasa ni 2M.
Comments zote zitasomwa
Ahsante
Mimi ni kijana umri wangu ni 30years. Natamani kufanya biashara za kutoa bidhaa zanzibar kuja kuuza Dar
Niko interested sana na biashara za Electronics.
Wadau mnaofanya biashara hizi naombeni mnishauri ni bidhaa gani naweza pata kwa bei nzuri na nikaja kupiga hela Dar
Mtaji wangu kwa sasa ni 2M.
Comments zote zitasomwa
Ahsante