Limbalangule
Senior Member
- Jun 14, 2023
- 136
- 270
Ukweli mtupu.Unatakiwa ufahamu hii kanuni : "Hakuna hela/fedha rahisi", ukilijua hili hutapata tabu hapa duniani!
Ili upate hela/fedha unahitaji kutoa sadaka.Hapa namaanisha sadaka ya muda, jitihada, nguvu, maarifa, jasho,damu, machozi, mtaji, akili, nidhamu, uthubutu, ujasiri n.k!
Hapa Watanzania wengi hatukuandaliwa katika misingi hiyo! Misingi ni ile nenda shule faulu halafu maisha mazuri! Halafu elimu yenyewe unakaririshwa!
No Easy Money: You never win playing by the rules (Dale Hunter)
Kweli kabisa tusikate tamaaWadau kwa ujumla yameongewa mengi yenye ukweli kwa kiasi kikubwa,nimekuwa nafanya biashara kwa muda sasa kiukweli changamoto ni kubwa kuliko wengi wanavyofikiri,ila tusikate tamaa mapambano lazima yaendelee.
Kweli kabisa mkuu! Sisi tunsojidai kufanya haki bin haki hatutoboi! Biashara nyingi zikichunguzwa zinatumika kupitisha hela chafu! Wewe upo pale umekomaa na genge lako hutoboi!Tulia wewe ,hujui kitu
We unaona hizo biashara zimesimama unadhani hizo biashara ndio zinagenerate faida si ndio ?
Watu wanafanya mambo yao meusi pembeni hizo biashara ni changa la macho tu
Watu wanafanya utakatishaji pesa , ukwepaji kodi , Rushwa , kuuza bidhaa feki , kupunja na kufanya Magumashi kibao
Mfumo wa nchi hii ni wa ovyo mno
Hairuhusu private sector na ujasiriamali kuthrive ,kama unaona hizi ni stories anzisha biashara halafu ulete mrejesho hapa
Point iko hapaTulia wewe ,hujui kitu
We unaona hizo biashara zimesimama unadhani hizo biashara ndio zinagenerate faida si ndio ?
Watu wanafanya mambo yao meusi pembeni hizo biashara ni changa la macho tu
Watu wanafanya utakatishaji pesa , ukwepaji kodi , Rushwa , kuuza bidhaa feki , kupunja na kufanya Magumashi kibao
Mfumo wa nchi hii ni wa ovyo mno
Hairuhusu private sector na ujasiriamali kuthrive ,kama unaona hizi ni stories anzisha biashara halafu ulete mrejesho hapa
Biashara ni umiza kichwa ndomana sio kila mtu anapaswa kuwa ni mfanya biashara kwa sababu biashara inahitaji akili kubwa, biashara inahitaji ubadilike kulingana na mda,unauza vipodozi ukiona upepo umechange, unahamia hadi wea,hadi wea ikizingua una hamia kwenye baa baa nayo......sasa wewe unauza kanga miaka kumi,na biashara ilivyo kuna kile kipindi cha kushobokewa na wateja na kipindi cha kupotezewa hivyo jitahidi kipindi kile unashobokewa ubuni na miladi mingine ya kutililisha mifereji ili biashara hii ikiyumba yumba nyingine inaleta maokoto NB tuwe wajanja wa kuendana na wakati kwani kunakipindi wateja nao wanakupotezea,,,nachekaga tu na hawa wamaduka ya dawa anakaaa sehem miaka 5 afu ana hama,hapa dawa nikubadili mifumo tu,
Shukran sana kama tumeelewana, kiufupi ni kwamba kufanikiwa kwenye biashara yako, yataka moyo mgumu sana....
Nimemshangaa...principle kubwa ya kuwa mfanyabiashara mahiri ni kuwa na consistency kwny aina moja ya biashara uimudu vyema na uanzishe branchs zake sehemu tofauti tofauti...Wewe siyo mfanyabiashara
Mfanyabiashara anakua katika biashara yake ikiwezekana kufikia kwenye production, kWa sababu anakua anaelewa vyema anachokifanya
Mbona wahindi wanafanya biashara moja miaka na miaka.Biashara ni umiza kichwa ndomana sio kila mtu anapaswa kuwa ni mfanya biashara kwa sababu biashara inahitaji akili kubwa, biashara inahitaji ubadilike kulingana na mda,unauza vipodozi ukiona upepo umechange, unahamia hadi wea,hadi wea ikizingua una hamia kwenye baa baa nayo......sasa wewe unauza kanga miaka kumi,na biashara ilivyo kuna kile kipindi cha kushobokewa na wateja na kipindi cha kupotezewa hivyo jitahidi kipindi kile unashobokewa ubuni na miladi mingine ya kutililisha mifereji ili biashara hii ikiyumba yumba nyingine inaleta maokoto NB tuwe wajanja wa kuendana na wakati kwani kunakipindi wateja nao wanakupotezea,,,nachekaga tu na hawa wamaduka ya dawa anakaaa sehem miaka 5 afu ana hama,hapa dawa nikubadili mifumo tu,
Huyu n mm kabisa ninamuda mrefu sinunui chakula nabeba kutoka homeNdo maana wafanyabiashara welio wengi, chakula kinaletwa Toka nyumbani!Ili asiharibu droo ya hela kwa kununua hotelini