Leo nina jipya kwa wale wajasirimali wenzangu na wazalendo wa hii platform mwanajamii mwenzenu ndugu yenu nahitaji msaada wenu wa kibiashara.
Nauza mafuta ya mawese na mafuta ya kokwa za mawese ambayo yana grade ya juu natafuta soko kwa wale wanaofahamu masoko ya hii bidhaa msaada wenu wakuu kwa kiwango chochote kile wanakaribishwa check me +255 678 180 202
Hongera sana sana, nimependa ulivyobrand! Hongera mno! Unaweza kutengeneza ikawa kwa pamoja na contact zako kwenye picha ili nikusaidie kutuma kwenye makundi yangu!
1. Unapatikana wapi
2. Bei kwa lita ni sh ngapi
maana mjini hapa ni mali ghafi ya kutengenezea sabuni za magadi unaweza ukaja tuka weka nguvu pa1 tutengenezee sabuni
1. Unapatikana wapi
2. Bei kwa lita ni sh ngapi
maana mjini hapa ni mali ghafi ya kutengenezea sabuni za magadi unaweza ukaja tuka weka nguvu pa1 tutengenezee sabuni
Hongera sana sana, nimependa ulivyobrand! Hongera mno! Unaweza kutengeneza ikawa kwa pamoja na contact zako kwenye picha ili nikusaidie kutuma kwenye makundi yangu!