Bi. Fatima Matola: Mama mpigania uhuru wa Tanganyika asiyefahamika

Gudume kumbe huku kwenye Ilimu sio kama kulee. Ila hapa naona kuna atakaekimbia mjadala maana mmoja mpemda nukuu mwingine mpenda Maelezo makavu bila nukuu, kwa mwendo huu mtaishia pata potea. Mkimaliza mkumbukw mada tajwa hapo juu mjadili kwa ufasaha huu huu. Tunaheshimu michango yenu.
Unaleta chai! Kasome discourse analysis uone namna gn mjadala inavoendeshwa! Vingnevyo ntaomba niishie hapa. Nakuuliza hiki unajibu kile....wap n wap? Unasema unataka nijue km na wew Fundi hahaaa so what!? Uo nd Msingi wa mjadala Wetu sasa mufti!? Unaulizwa Unafahamu km waislamu wanaamini vitabu 04?! Unavunga vunga tu! Porojo nyingiii ili nikuone Unajua na wew! Ili iweje sasa!? Ukiwa tayar njoo ntaendelea n wew.
Zaid ya Hapo am done with u
 
Bwana Gudume umenichekesha kwa majonzi badala ya furaha, yaani umenifanya nikuonee huruma kwa kutokujua kwako. Nikuulize maswali yafuatayo tafadhali:
Mosi, kama uislamu ulianza wakat wa mtume Muhammad, waislamu wanaamini vitabu vinne{4} navyo ni taurati(mussa),zaburi(daudi), Injiri(Issa/Yesu) na Qur-an(Muhammad). Swali, kama uislamu alouanzisha ni muhammad au alikuja nao Muhammad kwa maneno mengine mitume walotangulia walikuwa wakristo au wayahudi, nd kusema waislamu ni vigeugeu hapo mwanzo walikuwa wakristo then alivokuja Muhammad wakabdilika tena wakawa waislamu? Acha kukurupuka bn cyo lazima kila kitu ukoment km shule huna kaa kimya, kwa taarifa yako waislamu waislamu wanaamini mussa alikuwa muislamu,yesu alikuwa muislamu,d
Na daudi pia kyo usiwe zwazwa uislamu ulikuwepo hata kabla ya muhammad na kwa taarifa ni Ibrahimu baba wa imaani nd aloagizwa kuijenga Alqaaba xax jiulize Ibrahimu anapewaje maagizo yahusuyo uislamu wkt muanzilishi mwenyew wa uislamu kama unavodai hakuwepo!?
Pili, inaonekana hata historia ya taifa lako hulijui unabaki kuwa kama kasuku, nan kabisha Nyerere hakupigania uhuru, m nmeeleza mchango wa waislamu ktk uhuru wa Tanganyika na madhira wayapatayo.
Naomba unipe hizo reference za Qur-an ulizosema.
Mwisho kuwa makini bwana Gudume vingnevyo usije kuwa unachekwa ww kwa kutokujua kwako,
Argue don't shout mzee!
Tanibihi.
Cyo kila kitu lazma ukomment mengne kaa kimya uelekezwe
Habari nzuri
 
:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D
sheikh inawezekana kabisa ukawa unajaribu kubambia bambia maneno mawili matatu kwa kadri ulivyo kariri au karirishwa. na unapozidi kuweka weka hayo maneno unaonesha jinsi ulivyo maamuma kabisa katika ilimu hii.sasa ngoja kwa utulivu kabisa pasipo munkari,pepeso la macho au ith- hali nikupe darsa kwa kadri nipatavyo nafasi pasipo kulaza damu hata kwa dahri. USIPOTOSHE WAISLAMU MAAMUMA KUWA ibrahimu ,musa n.k walikuwa waislamu. sheikh unajipalia makaa ya moto huko jehnamu kwa dhambi iso na sababu. hawakuwa waislamu hawa walikuwa wayahudi miaka yao yote mpaka wanafariki.hawakufaham uislamu ulivyo na utakuja kuwaje.

1. Maana ya neno "lslam"
Neno 'Islam' Asili yake ni lugha ya 'kiarabu' lenye maana ya 'utii' au 'amani'.

2. Mwanzo wa Dini ya Kiislamu
Neno "Islam" ni tofauti na "Dini ya Kiislamu". Hii ni kwa sababu neno "Islam" lilitumika na waarabu hata kabla ya kuanza kwa dini ya kiislamu. Kwa hivyo "Dini ya kiislamu", maana yake ni "kujisalimisha chini ya amri za Allah" au "Amani chini ya sheria za Allah".

i. Muhammad aliambiwa na Allah asema: -
Quran 39: 12 Suratul Zumar (Makundi / Vikosi)
"Na pia nimeamrishwa niwe wa kwanza wa (viumbe - maana baadaye yaka kusilimishwa majini) wanaojisalimisha (kwa mwenyezi Mungu)"


Quran 6: 14 Suratul Al- An'am (Wanyama)
Sema "je nifanye mola (wangu) asiyekuwa Mwenyezi Mungu, (Ambaye ndiye) muumba wa mbingu na ardhi" naye hulisha wala halishwi" sema hakika mimi nimeamrishwa niwe wa kwanza katika wenye kusilimu na (nikaambiwa). usiwe miongoni mwa wanaomshirikisha (Mwenyezi Mungu).

mwanzo wa Dini ya Kiislamu.
Kadiri ya aya hizi zote tunaona ya kuwa dini ya kiislamu ilianzishwa rasmi hapa duniani Ramadhan siku ya Jumatatu mwezi 17 sawasawa na Tarehe 27 December mwaka 610 Baada ya Kristo (B.K), na mtu aitwae Muhammad Bin Abdalah Bin Abd-Muttalib Bin Hashim Bin Abd Manafu Bin Kusay. Mama yake aliitwa Amina Bint Wahab.
Ama baada ya kuona mwanzo wa Dini ya uislamu sasa tuanze kuangalia mbinu za kueneza uislamu.

3. Mbinu Zinazotumika na Waislamu
Mwanzoni Muhammad, mtume wa waislamu, alitumia mbinu hata za kivita ili kueneza dini yake ya kiislamu. Hata wafuasi wake waliamrishwa kupigana kwa ajili ya dini yao. Qurani inasimulia hivi---

Qurani 5:35 Suratul Al -Maidah (Meza)
Enyi mlioamini mcheni mwenyezi Mungu na tafuteni njia ya kumfikilia (kufikilia pepo yake). Na piganeni kwa ajili ya Dini yake ili mpate kufaulu.
Katika Qurani, kitabu kinachowaongoza waislamu, zipo aya nyingi zinazowaamrisha waislamu
wapigane. Baadhi ya aya hizo ni Qurani 47:4 Suratul Muhammad na Qurani 9:123 Suratul At - Tawba. Muhammad mwenyewe alisema hivi katika kitabu cha hadithi zinazoaminiwa na waislamu wote:-

Sahih Al-Bukhari Vol. 4 Hadith na 196, Ukurasa wa 124:
Imesimuliwa na Abu- Huraira: Mtume wa Allah akasema, Nimeamrishwa kupigana na watu hadi watakaposema hakuna apasaye kuabudiwa ila Allah; Na yule atakayesema kwamba hakuna apasaye kuabudiwa ila Allah, maisha yake na mali yake yataokolewa nami…

Uislamu wa mwanzoni ulikuwa ni vuguvugu la vijana, ambalo awali lilifikiriwa kama chama kisichokuwa na madhara. Walikuwepo katika siku zile takriban wanachama 40, na walikuwa wakipenda kukutana katika nyumba kubwa katika kiunga cha mji iliyokuwa mali ya kijana mmoja tajiri aitwaye Arqam wa kabila la Makhzum. Nyumba hiyo ya Aqram inakumbukwa na Waislamu kama sehemu ya kwanza ya kukutania ya Uislamu.”

(5). Akina Yasir walikuwa ndio “familia nzima” ya kwanza kusilimu (nje ya familia Mtume mwenyewe). Yasir, mke wake, Sumayya; na mwana wao Ammar; wote watatu walisilimu mara tu walipousikia mwito wa Mtume wa Allah swt. Watu wengine wamedai kwamba alikuwa ni Abu Bakr aliyekuwa mkuu wa “familia nzima” ya kwanza kusilimu. Madai haya yanakosa ushahidi. Mtoto wa Abu Bakr, Abdur Rahman, alikuwa ni mwabudu sanamu, na alikpigana dhidi ya Mtume wa Allah katika vita vya Badr. Baba yake Abu Bakr, Abu Qahafa, alikuwa pia ni muabudu masanamu ambaye alikuja kuwa Muislamu tu baada ya kutekwa Makka mnamo mwaka 630.

(6). Wapagani wa Makka walimtesa Yasir na mke wake Sumayya, na mtoto wao Ammar, siku baada ya siku, kwa kuukubali Uislamu. Wote watatu walikuwa ndio Waislamu wa kwanza ambao Muhammad Mustafa, Mtume wa Allah swt. aliwabashira kwam- ba wataingia Peponi.

(7). Sumayya, mke wa Yasir, alikuwa Mu’min wa kwanza aliyekufa shahidi katika Uislamu. Mume wake, Yasir alikuwa shahidi wa pili katika imani. Wote waliteswa mpaka kufa na wapagani hao. Mtoto wao, Ammar, alikuwa amepangiwa kupata shahada ya kifo cha Kishujaa ingawa alifanya hivyo katika vita vya Siffin mwaka 657. Waligeuka, kwa namna hii, kuwa familia ya wote Mashujaa katika Uislamu – sifa ambayo hakuna yoyote aliyewahi kushirikiana nao. Allah swt. Mwenyewe aliwach- agua kwa ajili ya heshima hii kubwa.

(8). Mtu wa kwanza kusoma Qur’an kwa sauti ndani ya Al-Kaaba alikuwa ni Abdallah ibn Mas’ud, sahaba na rafiki wa Muhammad (s.a.w.w.).
Du
 
Ni sahihi pia kusema ulikuwepo kipindi cha Adam kwa msingi kwamba uislamu km Dini ni mfumo, na ndio nilisema hata kabla ya mtume ulikuwepo uislam. "Kutokusikia kwako hakuondoi legitimacy ya uwepo wa kitu" eg uislamu, nilitegemea ungeniomba reference ktk hilo. Kuna MTU juzi katoka kuizunguka dunia anaitwa Francis Joyon kwa Siku 40, xax km hutak kujibidiisha kusoma unaweza na hili ukasema hujawahi kuskia. Kuhusu Zanzibar halikuwa swali nd maana ckujibu, lkn umeniskitisha kumtaja na kumnasibisha Abeid Karume na Mapinduzi ya Zanzibar, and yaleyale niliyosema historia inafichwa, hyo bwana hayupo kabisa ktk wale watu 14 waliopanga mapinduzi soma kitabu cha Abuu Jumbe( The partner-ship) (kwa heri Uhuru, kwa heri ukoloni) cha Harith Ghasany hyo baharia hayupo kabisaaa want mapinduz yanafanyika yet yupo daslaam, maneno haya anathibitisha mzee Thabit Kombo, bora kidgo untajie John Okello.
Huko zenj tena nd ucseme ukatili walofanyiwa waislamu.
Niishie hapa.....!
Tatizo linakuja kwamba Adam is a myth, the oldest human history have been traced back to Africa.....
 
Ni afadhali mimi mjinga maana naweza elimika.... Wewe ni mpumbavu ashakum si matusi. Sijui nani katoa kashfa hapo. Na dini yangu huhifaham ndo maana ambaye alitaka kubishana nami nmemuelezea kwa vifungu.wewe maamuma hujui unachopinga na huna hata hoja. Mwenye akili kule mwanzo alinielewa akamaliza mjadala. Wewe maamuma usojua a be che ndo unakuja na hii conclusion. Anyway... Nitajiabisha sana kujibishana nawe.

Sikujua kama ni mpuuzi kiasi hiki ndugu yangu kwani hata ukiwa si muislam huna haja ya kutoa kashfa kama hizo, acha ujinga
 
Nmekuelewa ndugu mohamed said. Sikukuita kwa nia mbaya. Niwie radhi kwa hilo. Tutaendelea kukutana humu kwa ajili ya ku gawana ilimu kadhaa wa kadhaa.


GuDume,
Mimi elimu yangu bahati mbaya sana ni ya sekula si katika Uislam wala mimi si sheikh bali ni Muislam wa kawaida tu.
 
Mzawa Halisi,
Swali lako ingekuwa nimeliuliza mimi ningeuliza hivi: Kwa nini Waislam
walikuwa mstari wa mbele katika kupigania uhuru wa Tanganyika?
Mohamed Said
Uelewa wangu ni kuwa watanganyika ndiyo waliopigania uhuru wa nchi hii. Ndiyo maana nimetaka kujua toka kwako mwana historia, je kulikuwa na jamii zilizojipambanua tofauti ya utanganyika katika kudai uhuru?
 
Nyani Ngabu,
Katika miaka ya 1950 wakati TANU inapambana na Waingereza kudai uhuru
Nyerere akiwa kiongozi ulikuwa huwezi kumkaribia kirahisi.

TANU ilikuwa na kikosi chake maalum Bantu Group ambacho kazi yake kuu
ilikuwa ulinzi na uhamasishaji.

DomeS9UO-eEp4pl70R0AFEWD_y2XK8fBDKPXO1E-9f2M0Gwp_jsQ2pbC3Yc2YegivcibpioQMxm8aJua7Brctg_1p19UkzRh0BtmyEAqcBKzBa7lPriofow2fXMR7x-A0tKKlly5lEc7gq4Ow9imrxk83OX76fIo6p50Nu3t1vayjrOq-nLrfxw8V4hrrmrTvPHXjI8oaNFRMxaxgBd5VqU0eMGhEPzZpl0jGfCSBOxvF-GR84GudwpBgTBYbpPHQt7z28aJmwD6foj9T_5kvq2HCkaoeRFterv6ZfJ8uk2jyvFLJR5qpnYN3pHMe-dqtNiGHTmHxn_0C_epAH3jYnizTcKOg7gaXbmcHO0VLxv1YkC57B8ZK6mvU2TF-kEuOiZ5uLPyv4kZr9AqDhWSAFGBcQPKWyRHfDTQAJwA6Gx3fK7BhOEN1idxkoCC9oFMOxO9fTzUkaeWeZofmM4w5W7hSIqXICTQxxB2sqjXBbOkMdY4asKPtptgAQfap2vzDDom9la0oyTy6B85aJYMm1CjPTU0o5ZKFT_6KgTsa9xRkTctyQXg2D050ol6ql0ldYEk0tTU2LH-WE04pZwxH1Z41BKVACEZae_shLLJ=w822-h629-no

Mbele kulia ni Zuberi Mtemvu, Julius Nyerere na John Rupia na nyuma yao ni Bantu Group angalia silaha za jadi
walizobeba.


Nyerere alikuwa akila na kulala akiwa safarini kwa watu walioaminika.

Nyerere alipoacha kazi alihamia Dar es Salaam na alikaa nyumbani kwa Abdul
Sykes,
Mtaa wa Stanley na Sikukuu.

TANU haikuamini Nyerere akae na mtu yoyote yule isipokuwa akakae kwa Abdul.
Sasa ukitaka kujua kwa nini iliamuliwa hivyo mjue Abdul alikuwa nani katika TANU.

Halikadhalika jiulize ilikuwaje Nyerere alipokwenda Lindi mwaka wa 1955 kwa nini
alifikia nyumbani kwa Suleiman Masudi Mnonji Mtaa wa Makonde.

Jiulize pia kwa nini Nyerere alipokwenda Moshi alifikia nyumbani kwa Mama Halima
Selengia.


Jiulize tena kwa nini Nyerere alipokwenda Tabora mwaka wa 1958 kweny mkutano
wa Kura Tatu alifikia nyumbani kwa Issa Kibira.

Jiulize mwenyewe hawa ni nani?

Basi unaposikia kuwa Nyerere wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika alifikia nyumba
ya Mama Fatma Bint Matola elewa kuwa huyo alikuwa mpigania uhuru na katika viongozi wa
juu kabisa katika TANU.
Ni common sense tu.
Mwanasiasa unafikia kwa watu wanaokubalika sehemu ile.
Nyerere alikuwa makini, angeweza kufikia mission za Maburuda na Mafather kwa vile alikuwa mkatoliki safi.
Lakini je kwa watu wanaopigania uhuru, wananchi wa kawaida ambao angewahutubia siku inayofuata wangemuelewa?

When in Rome, do as the Romans do.
 
Mohamed Said
Uelewa wangu ni kuwa watanganyika ndiyo waliopigania uhuru wa nchi hii. Ndiyo maana nimetaka kujua toka kwako mwana historia, je kulikuwa na jamii zilizojipambanua tofauti ya utanganyika katika kudai uhuru?
Mzawa,
Kila kitu kitu kina historia na chanzo chake haiwi tu kuwa Watanganyika ndivyo waliopigania uhuru.

Nchi ni Tanganyika hivyo haiwezekani Wakenya ndiyo wapiganie uhuru wa Tanganyika.

Suali linalofuata litakuwa ni Watanganyika gani walipigania uhuru na hapa tutataka kuwajua kwa majina na historia zao.

Mimi nakuuliza swali.

Shule umefundishwa kitu gani katika historia ya uhuru wa Tanganyika?
 
Matatizo tuliyokuwa nayo sisi watu wa JF ni kubadilisha muelekeo wa mada, mtoa mada kaleta mada nzuri watu tujadiliane na kufahamishana mara naona tumetoka nje ya mada, bora tuwe tuna-focus juu ya mada husika ili tufaidike.
Gudume na IphoneX tufunguwe mjadala mwingine wa hiyo mada mnayotaka kuiendeleza na in shaa Allah nasi tutachangia kwa yale tunayoyajua na kwa thread hii bora iendelee kama ilivyokusudiwa. Mtanisamehe kama ikiwa nimemkwaza mtu.
 
Ni common sense tu.
Mwanasiasa unafikia kwatubwansokubslika sehemu ile.
Nyerere alikuwa makini, angeweza kufikia missiin za Maburuda na Mafather kwa vile alikuwa mkatoliki safi.
Lakini je kwa watu wanaopigania uhuru, wananchi wa kawaida ambao angewahutubia siku inayofuata wangemuelewa?

When in Rome, do as the Romans do.
Jidu,
Unarahisisha kufikiri kwako.

Wamishionari ndiyo waliompa sharti gumu Baba wa Taifa kuwa katika mawili achage moja siasa au ualimu.

Uamuzi wa tatizo lile hakulifanya peke yake.

Mtu wa karibu sana na yeye alikuwa Abdul Sykes na akamfahamisha mambo yaliyojiri huko misheni.

Abdul bila kusita akamwambia aache kazi.

Tatizo hili na barua ile kutoka Misheni ikajadiliwa na Kamati Kuu ya TANU chini ya Mwenyekiti Clement Mohamed Mtamila.

Mtamila akiishi Mtaa wa Kipata (sasa Mtaa wa Kleist) na Sikukuu.

Mmoja wa wajumbe wale akiwa Bi. Tatu bint Mzee.

Uamuzi ulikuwa aache kazi Baba wa Taifa na ataajiriwa na TANU.

Nyerere akajizulu kazi ya ualimu na akaja kuishi nyumbani kwa Abdul Sykes Mtaa wa Stanley (sasa Mtaa wa Max Mbwana) na Sikukukuu.

Ingewezekana vipi Wamisheni wamfukuze kazi kisha wampe nyuma ya kuishi Msimbazi Centre?

Niko njiani In Shaa Allah nikirudi maskani nitakuwekeeni picha mpate kuona hali halisi ilivyokuwa wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika.
 
Jidu,
Unarahisisha kufikiri kwako.

Wamishionari ndiyo waliompa sharti gumu Baba wa Taifa kuwa katika mawili achage moja siasa au ualimu.

Uamuzi wa tatizo lile hakulifanya peke yake.

Mtu wa karibu sana na yeye alikuwa Abdul Sykes na akamfahamisha mambo yaliyojiri huko misheni.

Abdul bila kusita akamwambia aache kazi.

Tatizo hili na barua ile kutoka Misheni ikajadiliwa na Kamati Kuu ya TANU chini ya Mwenyekiti Clement Mohamed Mtamila.

Mtamila akiishi Mtaa wa Kipata (sasa Mtaa wa Kleist) na Sikukuu.

Mmoja wa wajumbe wale akiwa Bi. Tatu bint Mzee.

Uamuzi ulikuwa aache kazi Baba wa Taifa na ataajiriwa na TANU.

Nyerere akajizulu kazi ya ualimu na akaja kuishi nyumbani kwa Abdul Sykes Mtaa wa Stanley (sasa Mtaa wa Max Mbwana) na Sikukukuu.

Ingewezekana vipi Wamisheni wamfukuze kazi kisha wampe nyuma ya kuishi Msimbazi Centre?

Niko njiani In Shaa Allah nikirudi maskani nitakuwekeeni picha mpate kuona hali halisi ilivyokuwa wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika.
Picha unayotaka kueleza ni batili.
Kuwa Mwalimu aligikia kwa waislamu tu kote alikoenda, huu si ukweli.
 
Back
Top Bottom