Bi. Fatima Matola: Mama mpigania uhuru wa Tanganyika asiyefahamika

1.historia inatwambia uislamu ndyo dini ya kwanza kuingia ktk uga wa A.mashariki. rejea " The Early contacts btn Africa and Asian countries" lkn pia historia hyohyo inajibu swali la ukongwe wa dini ya kiislamu na hyo inayodaiwa kuitwa dini ya ukristo, uislamu ulianza tangu karne ya 4th, ikumbukwe uislamu ulikuwepo hata kabla ya kuja mtume wa
mwisho Muhammad, uislamu ulikuwepo tangu enzi za musa(moses), daudi(zaburi) na Adam. Karne ya 7th and ilianza kusambaa.rejea kitabu cha Islamic civilization, cha Abilal Almahdood. Encyclopedia Africanica n.k.
2. Waafrika walihisi kudhurumiwa na ukoloni mkongwe, lkn hapohapo na waislamu kwa nafasi ya upekee walikuwa wakihisi kuonewa na kudhurumiwa huo ukoloni hapa tunarejea vita vya maji maji ikumbukwe hii kwa waislamu ni Jihhad lkn kwa kuwa historia imefichwa wengi mnajua ilikuwa ni vita ya ukoloni mkongwe, kwa ujumla hili ni darasa lengine kwako cyo Leo, lkn itoshe kufahamu hata ktk kipindi hiko madai ya waislamu yalikuwepo. Vile vile kufutwa kwa baraza la waislamu lililokuwepo wakt wa ukoloni kabla hili la bakwata.
3. Mapigano ya kikoloni yalianza tangu karne ya 14th(during primitive mercantilism in Europe) the so called, period of plundering and looting of precious goods, raw materials in Africa.
Nimekupa like, kwakuwa kidogo umejiseti ktk hoja zangu. Moja, Sijakuelewa kabisa ulipotaja karne ya nne na uislam, sijawahi hata kulisikia hilo bora hata uniambie ulianzia tangu Uumbaji wa Adam. Pili, ni kutokujibu kwa yapi yaliyotukia ktk mapinduzi ya Zanzibar. Hoja pale ilikuwa, je waliopindua hawakuwa waislamu?

Kama ndivyo, basi akina Mkwawa, Mirambo na Kinjekitile pia walikuwa wakiupigania uislam,,, lakini kama akina Abeid Karume walikuwa nao ni waislam, basi kilichokuwa kikipingwa ni ukoloni tu, wa race nyingine kumtawala mwafrika. Na ndiyo maana walikuwa tayari kuungana na mwafrika yeyote yule bila kujali dini ili wajikomboe waafrika.

Abeid aliungana na John Okelo, wa Uhuru wa Tanganyika waliungana na Julius Nyerere na John Lupia, akina Chief Kunambi, waasisi wa TANU, ili wampatie tu mwafrika uhuru wake. Ni makosa kusema, waislamu, ni vyema tu kusema waafrika weusi... Italeta mantiki.
 
Nimekupa like, kwakuwa kidogo umejiseti ktk hoja zangu. Moja, Sijakuelewa kabisa ulipotaja karne ya nne na uislam, sijawahi hata kulisikia hilo bora hata uniambie ulianzia tangu Uumbaji wa Adam. Pili, ni kutokujibu kwa yapi yaliyotukia ktk mapinduzi ya Zanzibar. Hoja pale ilikuwa, je waliopindua hawakuwa waislamu?

Kama ndivyo, basi akina Mkwawa, Mirambo na Kinjekitile pia walikuwa wakiupigania uislam,,, lakini kama akina Abeid Karume walikuwa nao ni waislam, basi kilichokuwa kikipingwa ni ukoloni tu, wa race nyingine kumtawala mwafrika. Na ndiyo maana walikuwa tayari kuungana na mwafrika yeyote yule bila kujali dini ili wajikomboe waafrika.

Abeid aliungana na John Okelo, wa Uhuru wa Tanganyika waliungana na Julius Nyerere na John Lupia, akina Chief Kunambi, waasisi wa TANU, ili wampatie tu mwafrika uhuru wake. Ni makosa kusema, waislamu, ni vyema tu kusema waafrika weusi... Italeta mantiki.
Ni sahihi pia kusema ulikuwepo kipindi cha Adam kwa msingi kwamba uislamu km Dini ni mfumo, na ndio nilisema hata kabla ya mtume ulikuwepo uislam. "Kutokusikia kwako hakuondoi legitimacy ya uwepo wa kitu" eg uislamu, nilitegemea ungeniomba reference ktk hilo. Kuna MTU juzi katoka kuizunguka dunia anaitwa Francis Joyon kwa Siku 40, xax km hutak kujibidiisha kusoma unaweza na hili ukasema hujawahi kuskia. Kuhusu Zanzibar halikuwa swali nd maana ckujibu, lkn umeniskitisha kumtaja na kumnasibisha Abeid Karume na Mapinduzi ya Zanzibar, and yaleyale niliyosema historia inafichwa, hyo bwana hayupo kabisa ktk wale watu 14 waliopanga mapinduzi soma kitabu cha Abuu Jumbe( The partner-ship) (kwa heri Uhuru, kwa heri ukoloni) cha Harith Ghasany hyo baharia hayupo kabisaaa want mapinduz yanafanyika yet yupo daslaam, maneno haya anathibitisha mzee Thabit Kombo, bora kidgo untajie John Okello.
Huko zenj tena nd ucseme ukatili walofanyiwa waislamu.
Niishie hapa.....!
Nimekupa like, kwakuwa kidogo umejiseti ktk hoja zangu. Moja, Sijakuelewa kabisa ulipotaja karne ya nne na uislam, sijawahi hata kulisikia hilo bora hata uniambie ulianzia tangu Uumbaji wa Adam. Pili, ni kutokujibu kwa yapi yaliyotukia ktk mapinduzi ya Zanzibar. Hoja pale ilikuwa, je waliopindua hawakuwa waislamu?

Kama ndivyo, basi akina Mkwawa, Mirambo na Kinjekitile pia walikuwa wakiupigania uislam,,, lakini kama akina Abeid Karume walikuwa nao ni waislam, basi kilichokuwa kikipingwa ni ukoloni tu, wa race nyingine kumtawala mwafrika. Na ndiyo maana walikuwa tayari kuungana na mwafrika yeyote yule bila kujali dini ili wajikomboe waafrika.

Abeid aliungana na John Okelo, wa Uhuru wa Tanganyika waliungana na Julius Nyerere na John Lupia, akina Chief Kunambi, waasisi wa TANU, ili wampatie tu mwafrika uhuru wake. Ni makosa kusema, waislamu, ni vyema tu kusema waafrika weusi... Italeta mantiki.
 
Uzi umeshabadilishwa uelekeo, iwe Muislam au Mkristo sio hoja iliyopo, anayeongelewa kwenye uzi ni bi Matola
 
Mlikuwa mnatoa historia nzuri ya akina Fatima Matola ghafla mmehamia kwenye usinielewe tena....!!
 
Ha ha ha... Watu wameshaanza kukupuuza mzee mwezangu. Maana wanajua huna historia isipokuwa propaganda za kidini. Sisi tunamjua aliyepigania Uhuru ni J.K Nyerere na wengine walikuwepo kumsaidia of course.hilo huwezi futa hata miaka 1000 ijayo. Endelea kuokota okota masalia kadhaa waletee watu wasome waburuduke mama hadithi za alfu lela ulela...

Tujitahidi kuutokomeza mfumo kristo.... Sawa?
 
Acha uongo... Acha uongo kabisa. Sijui unaongea kwa faida ya nani. Muislam wa kwanza alikuwa Muhamad akifuatiwa na Majini ambayo yalikubali kusilimu na kusema hakika hiyo ni dini ya muumba wao. Kwa upande wa binadamu baada ya Muhamad alikuwa ni Ali mtoto wa miaka 10.Wewe unakuja kuwapotosha watu hapa? Unajua mfumo wa kalenda ya kiislamu unaanza lini? Acha kuwafanya watu hawafaham hizi dini. Ukristo uliletwa na Yesu na Uislamu uliletwa na muhamad.period.

Unataka vifungu toka kwenye quran?

1.historia inatwambia uislamu ndyo dini ya kwanza kuingia ktk uga wa A.mashariki. rejea " The Early contacts btn Africa and Asian countries" lkn pia historia hyohyo inajibu swali la ukongwe wa dini ya kiislamu na hyo inayodaiwa kuitwa dini ya ukristo, uislamu ulianza tangu karne ya 4th, ikumbukwe uislamu ulikuwepo hata kabla ya kuja mtume wa
mwisho Muhammad, uislamu ulikuwepo tangu enzi za musa(moses), daudi(zaburi) na Adam. Karne ya 7th and ilianza kusambaa.rejea kitabu cha Islamic civilization, cha Abilal Almahdood. Encyclopedia Africanica n.k.
2. Waafrika walihisi kudhurumiwa na ukoloni mkongwe, lkn hapohapo na waislamu kwa nafasi ya upekee walikuwa wakihisi kuonewa na kudhurumiwa huo ukoloni hapa tunarejea vita vya maji maji ikumbukwe hii kwa waislamu ni Jihhad lkn kwa kuwa historia imefichwa wengi mnajua ilikuwa ni vita ya ukoloni mkongwe, kwa ujumla hili ni darasa lengine kwako cyo Leo, lkn itoshe kufahamu hata ktk kipindi hiko madai ya waislamu yalikuwepo. Vile vile kufutwa kwa baraza la waislamu lililokuwepo wakt wa ukoloni kabla hili la bakwata.
3. Mapigano ya kikoloni yalianza tangu karne ya 14th(during primitive mercantilism in Europe) the so called, period of plundering and looting of precious goods, raw materials in Africa.
 
Ha ha ha... Watu wameshaanza kukupuuza mzee mwezangu. Maana wanajua huna historia isipokuwa propaganda za kidini. Sisi tunamjua aliyepigania Uhuru ni J.K Nyerere na wengine walikuwepo kumsaidia of course.hilo huwezi futa hata miaka 1000 ijayo. Endelea kuokota okota masalia kadhaa waletee watu wasome waburuduke mama hadithi za alfu lela ulela...

Tujitahidi kuutokomeza mfumo kristo.... Sawa?
Bwana Gudume umenichekesha kwa majonzi badala ya furaha, yaani umenifanya nikuonee huruma kwa kutokujua kwako. Nikuulize maswali yafuatayo tafadhali:
Mosi, kama uislamu ulianza wakat wa mtume Muhammad, waislamu wanaamini vitabu vinne{4} navyo ni taurati(mussa),zaburi(daudi), Injiri(Issa/Yesu) na Qur-an(Muhammad). Swali, kama uislamu alouanzisha ni muhammad au alikuja nao Muhammad kwa maneno mengine mitume walotangulia walikuwa wakristo au wayahudi, nd kusema waislamu ni vigeugeu hapo mwanzo walikuwa wakristo then alivokuja Muhammad wakabdilika tena wakawa waislamu? Acha kukurupuka bn cyo lazima kila kitu ukoment km shule huna kaa kimya, kwa taarifa yako waislamu waislamu wanaamini mussa alikuwa muislamu,yesu alikuwa muislamu,d
Na daudi pia kyo usiwe zwazwa uislamu ulikuwepo hata kabla ya muhammad na kwa taarifa ni Ibrahimu baba wa imaani nd aloagizwa kuijenga Alqaaba xax jiulize Ibrahimu anapewaje maagizo yahusuyo uislamu wkt muanzilishi mwenyew wa uislamu kama unavodai hakuwepo!?
Pili, inaonekana hata historia ya taifa lako hulijui unabaki kuwa kama kasuku, nan kabisha Nyerere hakupigania uhuru, m nmeeleza mchango wa waislamu ktk uhuru wa Tanganyika na madhira wayapatayo.
Naomba unipe hizo reference za Qur-an ulizosema.
Mwisho kuwa makini bwana Gudume vingnevyo usije kuwa unachekwa ww kwa kutokujua kwako,
Argue don't shout mzee!
Tanibihi.
Cyo kila kitu lazma ukomment mengne kaa kimya uelekezwe
 
Wewe umenisikitisha sana. Tena sana. Nmegundua ni maamuma. Hujui unachosema na huna ilimu dunia wala ilimu ahera. Wao kuamini hivyo vitabu ni maamuzi yao kama ambavyo leo ngeanzisha dini na kuiita Musarati nikapata wafuasi wengi nikaamua nichukue vitabu kadhaa toka biblia au quran. Hii haimaanishi dini yangu ilikuwepo toka zamani. Na hapa unatumia akili ndogo tu ya darasa la pili kuelewa.wala usihangaishe akili ya darasa la saba.

Ngoja nije kwa vielelezo nisiwe mpayukaji na hadhira ikadhani nami ni maamuma. Ni dhambi mbaya sana kupotosha jambo ingawa najua quran jnaruhusu kwa makusudi maalum lakin...wallah tusilifanye hili kama ni sehemu ya maisha yetu

IMG_20180107_150817_378.JPG



Bwana Gudume umenichekesha kwa majonzi badala ya furaha, yaani umenifanya nikuonee huruma kwa kutokujua kwako. Nikuulize maswali yafuatayo tafadhali:
Mosi, kama uislamu ulianza wakat wa mtume Muhammad, waislamu wanaamini vitabu vinne{4} navyo ni taurati(mussa),zaburi(daudi), Injiri(Issa/Yesu) na Qur-an(Muhammad). Swali, kama uislamu alouanzisha ni muhammad au alikuja nao Muhammad kwa maneno mengine mitume walotangulia walikuwa wakristo au wayahudi, nd kusema waislamu ni vigeugeu hapo mwanzo walikuwa wakristo then alivokuja Muhammad wakabdilika tena wakawa waislamu? Acha kukurupuka bn cyo lazima kila kitu ukoment km shule huna kaa kimya, kwa taarifa yako waislamu waislamu wanaamini mussa alikuwa muislamu,yesu alikuwa muislamu,d
Na daudi pia kyo usiwe zwazwa uislamu ulikuwepo hata kabla ya muhammad na kwa taarifa ni Ibrahimu baba wa imaani nd aloagizwa kuijenga Alqaaba xax jiulize Ibrahimu anapewaje maagizo yahusuyo uislamu wkt muanzilishi mwenyew wa uislamu kama unavodai hakuwepo!?
Pili, inaonekana hata historia ya taifa lako hulijui unabaki kuwa kama kasuku, nan kabisha Nyerere hakupigania uhuru, m nmeeleza mchango wa waislamu ktk uhuru wa Tanganyika na madhira wayapatayo.
Naomba unipe hizo reference za Qur-an ulizosema.
Mwisho kuwa makini bwana Gudume vingnevyo usije kuwa unachekwa ww kwa kutokujua kwako,
Argue don't shout mzee!
Tanibihi.
Cyo kila kitu lazma ukomment mengne kaa kimya uelekezwe
 
Nashukuru pia kuwa kuanzia hapa sasa nitapata nafasi ya kuelekezana nawe kwa kutumia quran.nakuahidi jioni ntakuwa na muda mzuri sana wa sisi kukutana hapa na kuelekezana pasipo munkari maana muhamad alisema tusishirikishane ilimu hii na watu wote. Nami allahamdulilah ntapata wasaa huu adhimu kabisa kuweza shirikiana nawe sheikh wangu kwa upendo kabisa ili tuweze fikia hitimisho.jioni ntakuwa hapa.

Wabillah tawfiq

Bwana Gudume umenichekesha kwa majonzi badala ya furaha, yaani umenifanya nikuonee huruma kwa kutokujua kwako. Nikuulize maswali yafuatayo tafadhali:
Mosi, kama uislamu ulianza wakat wa mtume Muhammad, waislamu wanaamini vitabu vinne{4} navyo ni taurati(mussa),zaburi(daudi), Injiri(Issa/Yesu) na Qur-an(Muhammad). Swali, kama uislamu alouanzisha ni muhammad au alikuja nao Muhammad kwa maneno mengine mitume walotangulia walikuwa wakristo au wayahudi, nd kusema waislamu ni vigeugeu hapo mwanzo walikuwa wakristo then alivokuja Muhammad wakabdilika tena wakawa waislamu? Acha kukurupuka bn cyo lazima kila kitu ukoment km shule huna kaa kimya, kwa taarifa yako waislamu waislamu wanaamini mussa alikuwa muislamu,yesu alikuwa muislamu,d
Na daudi pia kyo usiwe zwazwa uislamu ulikuwepo hata kabla ya muhammad na kwa taarifa ni Ibrahimu baba wa imaani nd aloagizwa kuijenga Alqaaba xax jiulize Ibrahimu anapewaje maagizo yahusuyo uislamu wkt muanzilishi mwenyew wa uislamu kama unavodai hakuwepo!?
Pili, inaonekana hata historia ya taifa lako hulijui unabaki kuwa kama kasuku, nan kabisha Nyerere hakupigania uhuru, m nmeeleza mchango wa waislamu ktk uhuru wa Tanganyika na madhira wayapatayo.
Naomba unipe hizo reference za Qur-an ulizosema.
Mwisho kuwa makini bwana Gudume vingnevyo usije kuwa unachekwa ww kwa kutokujua kwako,
Argue don't shout mzee!
Tanibihi.
Cyo kila kitu lazma ukomment mengne kaa kimya uelekezwe
 
Nashukuru pia kuwa kuanzia hapa sasa nitapata nafasi ya kuelekezana nawe kwa kutumia quran.nakuahidi jioni ntakuwa na muda mzuri sana wa sisi kukutana hapa na kuelekezana pasipo munkari maana muhamad alisema tusishirikishane ilimu hii na watu wote. Nami allahamdulilah ntapata wasaa huu adhimu kabisa kuweza shirikiana nawe sheikh wangu kwa upendo kabisa ili tuweze fikia hitimisho.jioni ntakuwa hapa.

Wabillah tawfiq

Bwana Gudume umenichekesha kwa majonzi badala ya furaha, yaani umenifanya nikuonee huruma kwa kutokujua kwako. Nikuulize maswali yafuatayo tafadhali:
Mosi, kama uislamu ulianza wakat wa mtume Muhammad, waislamu wanaamini vitabu vinne{4} navyo ni taurati(mussa),zaburi(daudi), Injiri(Issa/Yesu) na Qur-an(Muhammad). Swali, kama uislamu alouanzisha ni muhammad au alikuja nao Muhammad kwa maneno mengine mitume walotangulia walikuwa wakristo au wayahudi, nd kusema waislamu ni vigeugeu hapo mwanzo walikuwa wakristo then alivokuja Muhammad wakabdilika tena wakawa waislamu? Acha kukurupuka bn cyo lazima kila kitu ukoment km shule huna kaa kimya, kwa taarifa yako waislamu waislamu wanaamini mussa alikuwa muislamu,yesu alikuwa muislamu,d
Na daudi pia kyo usiwe zwazwa uislamu ulikuwepo hata kabla ya muhammad na kwa taarifa ni Ibrahimu baba wa imaani nd aloagizwa kuijenga Alqaaba xax jiulize Ibrahimu anapewaje maagizo yahusuyo uislamu wkt muanzilishi mwenyew wa uislamu kama unavodai hakuwepo!?
Pili, inaonekana hata historia ya taifa lako hulijui unabaki kuwa kama kasuku, nan kabisha Nyerere hakupigania uhuru, m nmeeleza mchango wa waislamu ktk uhuru wa Tanganyika na madhira wayapatayo.
Naomba unipe hizo reference za Qur-an ulizosema.
Mwisho kuwa makini bwana Gudume vingnevyo usije kuwa unachekwa ww kwa kutokujua kwako,
Argue don't shout mzee!
Tanibihi.
Cyo kila kitu lazma ukomment mengne kaa kimya uelekezwe
 
sasa nipo tayari ili tuweze kupeana ilimu hii kama ambavyo nliahidi jana tuweze kuelimishana kwa mujibu wa Quran nani alikuwa Muislamu wa Kwanza. na hapa wala tusienende kwa jazba na maneno maneno maana twapaswa kutumia Quran hii hii ituambie natumaini tutapata majibu humo kifungu kwa kifungu. nimekaa standby hapa kwa ajili ya kupeana darsa ikiwa utataka hilo ingawa nilikuwa naona si sahihi pia kutumia thread hii ya mzee mwenzangu lakini kama inawezekana... tuanzishe hiyo mada au pengine tutumie post mbili tatu nikuweke sawa ili mwishowe tuwez kuelewa nini hasa kilichopo kuhusiana na uislamu na nani ni muislam wa kwanza kwa mujibu wa quran.

Bwana Gudume umenichekesha kwa majonzi badala ya furaha, yaani umenifanya nikuonee huruma kwa kutokujua kwako. Nikuulize maswali yafuatayo tafadhali:
Mosi, kama uislamu ulianza wakat wa mtume Muhammad, waislamu wanaamini vitabu vinne{4} navyo ni taurati(mussa),zaburi(daudi), Injiri(Issa/Yesu) na Qur-an(Muhammad). Swali, kama uislamu alouanzisha ni muhammad au alikuja nao Muhammad kwa maneno mengine mitume walotangulia walikuwa wakristo au wayahudi, nd kusema waislamu ni vigeugeu hapo mwanzo walikuwa wakristo then alivokuja Muhammad wakabdilika tena wakawa waislamu? Acha kukurupuka bn cyo lazima kila kitu ukoment km shule huna kaa kimya, kwa taarifa yako waislamu waislamu wanaamini mussa alikuwa muislamu,yesu alikuwa muislamu,d
Na daudi pia kyo usiwe zwazwa uislamu ulikuwepo hata kabla ya muhammad na kwa taarifa ni Ibrahimu baba wa imaani nd aloagizwa kuijenga Alqaaba xax jiulize Ibrahimu anapewaje maagizo yahusuyo uislamu wkt muanzilishi mwenyew wa uislamu kama unavodai hakuwepo!?
Pili, inaonekana hata historia ya taifa lako hulijui unabaki kuwa kama kasuku, nan kabisha Nyerere hakupigania uhuru, m nmeeleza mchango wa waislamu ktk uhuru wa Tanganyika na madhira wayapatayo.
Naomba unipe hizo reference za Qur-an ulizosema.
Mwisho kuwa makini bwana Gudume vingnevyo usije kuwa unachekwa ww kwa kutokujua kwako,
Argue don't shout mzee!
Tanibihi.
Cyo kila kitu lazma ukomment mengne kaa kimya uelekezwe
 
sasa nipo tayari ili tuweze kupeana ilimu hii kama ambavyo nliahidi jana tuweze kuelimishana kwa mujibu wa Quran nani alikuwa Muislamu wa Kwanza. na hapa wala tusienende kwa jazba na maneno maneno maana twapaswa kutumia Quran hii hii ituambie natumaini tutapata majibu humo kifungu kwa kifungu. nimekaa standby hapa kwa ajili ya kupeana darsa ikiwa utataka hilo ingawa nilikuwa naona si sahihi pia kutumia thread hii ya mzee mwenzangu lakini kama inawezekana... tuanzishe hiyo mada au pengine tutumie post mbili tatu nikuweke sawa ili mwishowe tuwez kuelewa nini hasa kilichopo kuhusiana na uislamu na nani ni muislam wa kwanza kwa mujibu wa quran.
قُلْ أَغَيْرَ اللَّهِ أَتَّخِذُ وَلِيًّا فَاطِرِ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَهُوَ يُطْعِمُ وَلَا يُطْعَمُ ۗ قُلْ إِنِّي أُمِرْتُ أَنْ أَكُونَ أَوَّلَ مَنْ أَسْلَمَ ۖ وَلَا تَكُونَنَّ مِنَ الْمُشْرِكِينَ - 6:14
Hyo inaitwa suratu al-an'aam. Ni kweli kabisa km ulivotafsiri, Ndio maana mwanzo nikasema tatizo Lako ww no dogo sana, ni Elimu tu. sema ulikuja kihuni sana kwenye mjadala lkn any way ntakufundisha tu hvhvo na qibri chako.
Kwanza aya haina kabsa uhusiano na tafsiri yako Waka ulichokimaanisha et Muhammad ndio muislamu wa kwanza, M/mungu anamuamrisha Muhammad awaambie Waja wake kwamba yeye ndio kiigizo chema na apambane ktk kuondoa uovu na Katu asiwe miongoni mwa washirikiana. Msingi wa aya hapa ni kumuhabarisha Muhammad awe mstari wa mbele ktk kuondoa madhila yote yalotangulia, kumbka hata kabla take washirikina walikuwepo ndio manaana mwisho wa aya wametajwa.
Narudia tena naomba aya wapi M/mungu kamtaja Muhammad kama mtume wa Kwanza!?
Then mbn hujajibu waislam Unafahamu kama wanaamini vitabu 4!? Yn ukijibu hilo make mjadala unkufa hapahapa. Wala Hakuna haja yakusumbuana.
Mwisho kabsa kuhusu kutumia lugha ya staha ni muhimu xaxa uanze kujifunza kuacha kutumia lugha za kuudhi ktk mambo ya kitaaluma tena bahat mbaya huna Elimu navyo.
 
:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D
sheikh inawezekana kabisa ukawa unajaribu kubambia bambia maneno mawili matatu kwa kadri ulivyo kariri au karirishwa. na unapozidi kuweka weka hayo maneno unaonesha jinsi ulivyo maamuma kabisa katika ilimu hii.sasa ngoja kwa utulivu kabisa pasipo munkari,pepeso la macho au ith- hali nikupe darsa kwa kadri nipatavyo nafasi pasipo kulaza damu hata kwa dahri. USIPOTOSHE WAISLAMU MAAMUMA KUWA ibrahimu ,musa n.k walikuwa waislamu. sheikh unajipalia makaa ya moto huko jehnamu kwa dhambi iso na sababu. hawakuwa waislamu hawa walikuwa wayahudi miaka yao yote mpaka wanafariki.hawakufaham uislamu ulivyo na utakuja kuwaje.

1. Maana ya neno "lslam"
Neno 'Islam' Asili yake ni lugha ya 'kiarabu' lenye maana ya 'utii' au 'amani'.

2. Mwanzo wa Dini ya Kiislamu
Neno "Islam" ni tofauti na "Dini ya Kiislamu". Hii ni kwa sababu neno "Islam" lilitumika na waarabu hata kabla ya kuanza kwa dini ya kiislamu. Kwa hivyo "Dini ya kiislamu", maana yake ni "kujisalimisha chini ya amri za Allah" au "Amani chini ya sheria za Allah".

i. Muhammad aliambiwa na Allah asema: -
Quran 39: 12 Suratul Zumar (Makundi / Vikosi)
"Na pia nimeamrishwa niwe wa kwanza wa (viumbe - maana baadaye yaka kusilimishwa majini) wanaojisalimisha (kwa mwenyezi Mungu)"


Quran 6: 14 Suratul Al- An'am (Wanyama)
Sema "je nifanye mola (wangu) asiyekuwa Mwenyezi Mungu, (Ambaye ndiye) muumba wa mbingu na ardhi" naye hulisha wala halishwi" sema hakika mimi nimeamrishwa niwe wa kwanza katika wenye kusilimu na (nikaambiwa). usiwe miongoni mwa wanaomshirikisha (Mwenyezi Mungu).

mwanzo wa Dini ya Kiislamu.
Kadiri ya aya hizi zote tunaona ya kuwa dini ya kiislamu ilianzishwa rasmi hapa duniani Ramadhan siku ya Jumatatu mwezi 17 sawasawa na Tarehe 27 December mwaka 610 Baada ya Kristo (B.K), na mtu aitwae Muhammad Bin Abdalah Bin Abd-Muttalib Bin Hashim Bin Abd Manafu Bin Kusay. Mama yake aliitwa Amina Bint Wahab.
Ama baada ya kuona mwanzo wa Dini ya uislamu sasa tuanze kuangalia mbinu za kueneza uislamu.

3. Mbinu Zinazotumika na Waislamu
Mwanzoni Muhammad, mtume wa waislamu, alitumia mbinu hata za kivita ili kueneza dini yake ya kiislamu. Hata wafuasi wake waliamrishwa kupigana kwa ajili ya dini yao. Qurani inasimulia hivi---

Qurani 5:35 Suratul Al -Maidah (Meza)
Enyi mlioamini mcheni mwenyezi Mungu na tafuteni njia ya kumfikilia (kufikilia pepo yake). Na piganeni kwa ajili ya Dini yake ili mpate kufaulu.
Katika Qurani, kitabu kinachowaongoza waislamu, zipo aya nyingi zinazowaamrisha waislamu
wapigane. Baadhi ya aya hizo ni Qurani 47:4 Suratul Muhammad na Qurani 9:123 Suratul At - Tawba. Muhammad mwenyewe alisema hivi katika kitabu cha hadithi zinazoaminiwa na waislamu wote:-

Sahih Al-Bukhari Vol. 4 Hadith na 196, Ukurasa wa 124:
Imesimuliwa na Abu- Huraira: Mtume wa Allah akasema, Nimeamrishwa kupigana na watu hadi watakaposema hakuna apasaye kuabudiwa ila Allah; Na yule atakayesema kwamba hakuna apasaye kuabudiwa ila Allah, maisha yake na mali yake yataokolewa nami…

Uislamu wa mwanzoni ulikuwa ni vuguvugu la vijana, ambalo awali lilifikiriwa kama chama kisichokuwa na madhara. Walikuwepo katika siku zile takriban wanachama 40, na walikuwa wakipenda kukutana katika nyumba kubwa katika kiunga cha mji iliyokuwa mali ya kijana mmoja tajiri aitwaye Arqam wa kabila la Makhzum. Nyumba hiyo ya Aqram inakumbukwa na Waislamu kama sehemu ya kwanza ya kukutania ya Uislamu.”

(5). Akina Yasir walikuwa ndio “familia nzima” ya kwanza kusilimu (nje ya familia Mtume mwenyewe). Yasir, mke wake, Sumayya; na mwana wao Ammar; wote watatu walisilimu mara tu walipousikia mwito wa Mtume wa Allah swt. Watu wengine wamedai kwamba alikuwa ni Abu Bakr aliyekuwa mkuu wa “familia nzima” ya kwanza kusilimu. Madai haya yanakosa ushahidi. Mtoto wa Abu Bakr, Abdur Rahman, alikuwa ni mwabudu sanamu, na alikpigana dhidi ya Mtume wa Allah katika vita vya Badr. Baba yake Abu Bakr, Abu Qahafa, alikuwa pia ni muabudu masanamu ambaye alikuja kuwa Muislamu tu baada ya kutekwa Makka mnamo mwaka 630.

(6). Wapagani wa Makka walimtesa Yasir na mke wake Sumayya, na mtoto wao Ammar, siku baada ya siku, kwa kuukubali Uislamu. Wote watatu walikuwa ndio Waislamu wa kwanza ambao Muhammad Mustafa, Mtume wa Allah swt. aliwabashira kwam- ba wataingia Peponi.

(7). Sumayya, mke wa Yasir, alikuwa Mu’min wa kwanza aliyekufa shahidi katika Uislamu. Mume wake, Yasir alikuwa shahidi wa pili katika imani. Wote waliteswa mpaka kufa na wapagani hao. Mtoto wao, Ammar, alikuwa amepangiwa kupata shahada ya kifo cha Kishujaa ingawa alifanya hivyo katika vita vya Siffin mwaka 657. Waligeuka, kwa namna hii, kuwa familia ya wote Mashujaa katika Uislamu – sifa ambayo hakuna yoyote aliyewahi kushirikiana nao. Allah swt. Mwenyewe aliwach- agua kwa ajili ya heshima hii kubwa.

(8). Mtu wa kwanza kusoma Qur’an kwa sauti ndani ya Al-Kaaba alikuwa ni Abdallah ibn Mas’ud, sahaba na rafiki wa Muhammad (s.a.w.w.).

قُلْ أَغَيْرَ اللَّهِ أَتَّخِذُ وَلِيًّا فَاطِرِ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَهُوَ يُطْعِمُ وَلَا يُطْعَمُ ۗ قُلْ إِنِّي أُمِرْتُ أَنْ أَكُونَ أَوَّلَ مَنْ أَسْلَمَ ۖ وَلَا تَكُونَنَّ مِنَ الْمُشْرِكِينَ - 6:14
Hyo inaitwa suratu al-an'aam. Ni kweli kabisa km ulivotafsiri, Ndio maana mwanzo nikasema tatizo Lako ww no dogo sana, ni Elimu tu. sema ulikuja kihuni sana kwenye mjadala lkn any way ntakufundisha tu hvhvo na qibri chako.
Kwanza aya haina kabsa uhusiano na tafsiri yako Waka ulichokimaanisha et Muhammad ndio muislamu wa kwanza, M/mungu anamuamrisha Muhammad awaambie Waja wake kwamba yeye ndio kiigizo chema na apambane ktk kuondoa uovu na Katu asiwe miongoni mwa washirikiana. Msingi wa aya hapa ni kumuhabarisha Muhammad awe mstari wa mbele ktk kuondoa madhila yote yalotangulia, kumbka hata kabla take washirikina walikuwepo ndio manaana mwisho wa aya wametajwa.
Narudia tena naomba aya wapi M/mungu kamtaja Muhammad kama mtume wa Kwanza!?
Then mbn hujajibu waislam Unafahamu kama wanaamini vitabu 4!? Yn ukijibu hilo make mjadala unkufa hapahapa. Wala Hakuna haja yakusumbuana.
Mwisho kabsa kuhusu kutumia lugha ya staha ni muhimu xaxa uanze kujifunza kuacha kutumia lugha za kuudhi ktk mambo ya kitaaluma tena bahat mbaya huna Elimu navyo.
 
tukimaliza kule juu sasa ntakuletea habari za wafuasi waliofuatia katika uislamu baada ya binadamu wa kwanza kusilimu.MUHAMAD. JE VIUMBE GANI WALIFUATIA KUSILIMU KWA MUJIBU WA QURAN... NITAKULETEA PINDI TUNAPOENDELEA KUPEANA DARSA.... ili ikiwezekana sheikh urudi tena madrasa au ukae ujisomee kwa ukaribu zaidi uielewe hii dini na baadaye uendapo ahera ukajipatie wanawake mabikra wa kutosha.tartibu tu tunaeleweshana

قُلْ أَغَيْرَ اللَّهِ أَتَّخِذُ وَلِيًّا فَاطِرِ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَهُوَ يُطْعِمُ وَلَا يُطْعَمُ ۗ قُلْ إِنِّي أُمِرْتُ أَنْ أَكُونَ أَوَّلَ مَنْ أَسْلَمَ ۖ وَلَا تَكُونَنَّ مِنَ الْمُشْرِكِينَ - 6:14
Hyo inaitwa suratu al-an'aam. Ni kweli kabisa km ulivotafsiri, Ndio maana mwanzo nikasema tatizo Lako ww no dogo sana, ni Elimu tu. sema ulikuja kihuni sana kwenye mjadala lkn any way ntakufundisha tu hvhvo na qibri chako.
Kwanza aya haina kabsa uhusiano na tafsiri yako Waka ulichokimaanisha et Muhammad ndio muislamu wa kwanza, M/mungu anamuamrisha Muhammad awaambie Waja wake kwamba yeye ndio kiigizo chema na apambane ktk kuondoa uovu na Katu asiwe miongoni mwa washirikiana. Msingi wa aya hapa ni kumuhabarisha Muhammad awe mstari wa mbele ktk kuondoa madhila yote yalotangulia, kumbka hata kabla take washirikina walikuwepo ndio manaana mwisho wa aya wametajwa.
Narudia tena naomba aya wapi M/mungu kamtaja Muhammad kama mtume wa Kwanza!?
Then mbn hujajibu waislam Unafahamu kama wanaamini vitabu 4!? Yn ukijibu hilo make mjadala unkufa hapahapa. Wala Hakuna haja yakusumbuana.
Mwisho kabsa kuhusu kutumia lugha ya staha ni muhimu xaxa uanze kujifunza kuacha kutumia lugha za kuudhi ktk mambo ya kitaaluma tena bahat mbaya huna Elimu navyo.
 
:):):):)nashukuru pia kuwa umekuwa ukijinasibi kuwa umejawa na ilimu.... nami nimekuwa nikijaribu kuonesha katika hilo umekuwa ukidhihirisha u maamuma. lakini kama waona kuwa umejawa na ilimu basi sheikh ngoja nitumie Socratic irony nikubaliane nawe katika hilo dai lako ili sasa kwa minajiri hiyo tuweze bainisha ukweli uso na shaka kuhusiana na hoja hii iliyo mbele ya meza yetu.

قُلْ أَغَيْرَ اللَّهِ أَتَّخِذُ وَلِيًّا فَاطِرِ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَهُوَ يُطْعِمُ وَلَا يُطْعَمُ ۗ قُلْ إِنِّي أُمِرْتُ أَنْ أَكُونَ أَوَّلَ مَنْ أَسْلَمَ ۖ وَلَا تَكُونَنَّ مِنَ الْمُشْرِكِينَ - 6:14
Hyo inaitwa suratu al-an'aam. Ni kweli kabisa km ulivotafsiri, Ndio maana mwanzo nikasema tatizo Lako ww no dogo sana, ni Elimu tu. sema ulikuja kihuni sana kwenye mjadala lkn any way ntakufundisha tu hvhvo na qibri chako.
Kwanza aya haina kabsa uhusiano na tafsiri yako Waka ulichokimaanisha et Muhammad ndio muislamu wa kwanza, M/mungu anamuamrisha Muhammad awaambie Waja wake kwamba yeye ndio kiigizo chema na apambane ktk kuondoa uovu na Katu asiwe miongoni mwa washirikiana. Msingi wa aya hapa ni kumuhabarisha Muhammad awe mstari wa mbele ktk kuondoa madhila yote yalotangulia, kumbka hata kabla take washirikina walikuwepo ndio manaana mwisho wa aya wametajwa.
Narudia tena naomba aya wapi M/mungu kamtaja Muhammad kama mtume wa Kwanza!?
Then mbn hujajibu waislam Unafahamu kama wanaamini vitabu 4!? Yn ukijibu hilo make mjadala unkufa hapahapa. Wala Hakuna haja yakusumbuana.
Mwisho kabsa kuhusu kutumia lugha ya staha ni muhimu xaxa uanze kujifunza kuacha kutumia lugha za kuudhi ktk mambo ya kitaaluma tena bahat mbaya huna Elimu navyo.
 
Kwa hiyo baba wa taifa kufikia nyumbani kwa huyo mama ndo kunamfanya huyo mama awe mpigania uhuru wa Tanganyika au kuna mengine zaidi aliyoyafanya?
Nionavyo mm, Mama Fatima ame-qualify kbs, kumuhifadhi au kumficha muhalifu nawe ni muhalifu tu....the same applied kw mpigania uhuru!

Sent from my SM-T231 using JamiiForums mobile app
 
:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D
sheikh inawezekana kabisa ukawa unajaribu kubambia bambia maneno mawili matatu kwa kadri ulivyo kariri au karirishwa. na unapozidi kuweka weka hayo maneno unaonesha jinsi ulivyo maamuma kabisa katika ilimu hii.sasa ngoja kwa utulivu kabisa pasipo munkari,pepeso la macho au ith- hali nikupe darsa kwa kadri nipatavyo nafasi pasipo kulaza damu hata kwa dahri. USIPOTOSHE WAISLAMU MAAMUMA KUWA ibrahimu ,musa n.k walikuwa waislamu. sheikh unajipalia makaa ya moto huko jehnamu kwa dhambi iso na sababu. hawakuwa waislamu hawa walikuwa wayahudi miaka yao yote mpaka wanafariki.hawakufaham uislamu ulivyo na utakuja kuwaje.

1. Maana ya neno "lslam"
Neno 'Islam' Asili yake ni lugha ya 'kiarabu' lenye maana ya 'utii' au 'amani'.

2. Mwanzo wa Dini ya Kiislamu
Neno "Islam" ni tofauti na "Dini ya Kiislamu". Hii ni kwa sababu neno "Islam" lilitumika na waarabu hata kabla ya kuanza kwa dini ya kiislamu. Kwa hivyo "Dini ya kiislamu", maana yake ni "kujisalimisha chini ya amri za Allah" au "Amani chini ya sheria za Allah".

i. Muhammad aliambiwa na Allah asema: -
Quran 39: 12 Suratul Zumar (Makundi / Vikosi)
"Na pia nimeamrishwa niwe wa kwanza wa (viumbe - maana baadaye yaka kusilimishwa majini) wanaojisalimisha (kwa mwenyezi Mungu)"


Quran 6: 14 Suratul Al- An'am (Wanyama)
Sema "je nifanye mola (wangu) asiyekuwa Mwenyezi Mungu, (Ambaye ndiye) muumba wa mbingu na ardhi" naye hulisha wala halishwi" sema hakika mimi nimeamrishwa niwe wa kwanza katika wenye kusilimu na (nikaambiwa). usiwe miongoni mwa wanaomshirikisha (Mwenyezi Mungu).

mwanzo wa Dini ya Kiislamu.
Kadiri ya aya hizi zote tunaona ya kuwa dini ya kiislamu ilianzishwa rasmi hapa duniani Ramadhan siku ya Jumatatu mwezi 17 sawasawa na Tarehe 27 December mwaka 610 Baada ya Kristo (B.K), na mtu aitwae Muhammad Bin Abdalah Bin Abd-Muttalib Bin Hashim Bin Abd Manafu Bin Kusay. Mama yake aliitwa Amina Bint Wahab.
Ama baada ya kuona mwanzo wa Dini ya uislamu sasa tuanze kuangalia mbinu za kueneza uislamu.

3. Mbinu Zinazotumika na Waislamu
Mwanzoni Muhammad, mtume wa waislamu, alitumia mbinu hata za kivita ili kueneza dini yake ya kiislamu. Hata wafuasi wake waliamrishwa kupigana kwa ajili ya dini yao. Qurani inasimulia hivi---

Qurani 5:35 Suratul Al -Maidah (Meza)
Enyi mlioamini mcheni mwenyezi Mungu na tafuteni njia ya kumfikilia (kufikilia pepo yake). Na piganeni kwa ajili ya Dini yake ili mpate kufaulu.
Katika Qurani, kitabu kinachowaongoza waislamu, zipo aya nyingi zinazowaamrisha waislamu
wapigane. Baadhi ya aya hizo ni Qurani 47:4 Suratul Muhammad na Qurani 9:123 Suratul At - Tawba. Muhammad mwenyewe alisema hivi katika kitabu cha hadithi zinazoaminiwa na waislamu wote:-

Sahih Al-Bukhari Vol. 4 Hadith na 196, Ukurasa wa 124:
Imesimuliwa na Abu- Huraira: Mtume wa Allah akasema, Nimeamrishwa kupigana na watu hadi watakaposema hakuna apasaye kuabudiwa ila Allah; Na yule atakayesema kwamba hakuna apasaye kuabudiwa ila Allah, maisha yake na mali yake yataokolewa nami…

Uislamu wa mwanzoni ulikuwa ni vuguvugu la vijana, ambalo awali lilifikiriwa kama chama kisichokuwa na madhara. Walikuwepo katika siku zile takriban wanachama 40, na walikuwa wakipenda kukutana katika nyumba kubwa katika kiunga cha mji iliyokuwa mali ya kijana mmoja tajiri aitwaye Arqam wa kabila la Makhzum. Nyumba hiyo ya Aqram inakumbukwa na Waislamu kama sehemu ya kwanza ya kukutania ya Uislamu.”

(5). Akina Yasir walikuwa ndio “familia nzima” ya kwanza kusilimu (nje ya familia Mtume mwenyewe). Yasir, mke wake, Sumayya; na mwana wao Ammar; wote watatu walisilimu mara tu walipousikia mwito wa Mtume wa Allah swt. Watu wengine wamedai kwamba alikuwa ni Abu Bakr aliyekuwa mkuu wa “familia nzima” ya kwanza kusilimu. Madai haya yanakosa ushahidi. Mtoto wa Abu Bakr, Abdur Rahman, alikuwa ni mwabudu sanamu, na alikpigana dhidi ya Mtume wa Allah katika vita vya Badr. Baba yake Abu Bakr, Abu Qahafa, alikuwa pia ni muabudu masanamu ambaye alikuja kuwa Muislamu tu baada ya kutekwa Makka mnamo mwaka 630.

(6). Wapagani wa Makka walimtesa Yasir na mke wake Sumayya, na mtoto wao Ammar, siku baada ya siku, kwa kuukubali Uislamu. Wote watatu walikuwa ndio Waislamu wa kwanza ambao Muhammad Mustafa, Mtume wa Allah swt. aliwabashira kwam- ba wataingia Peponi.

(7). Sumayya, mke wa Yasir, alikuwa Mu’min wa kwanza aliyekufa shahidi katika Uislamu. Mume wake, Yasir alikuwa shahidi wa pili katika imani. Wote waliteswa mpaka kufa na wapagani hao. Mtoto wao, Ammar, alikuwa amepangiwa kupata shahada ya kifo cha Kishujaa ingawa alifanya hivyo katika vita vya Siffin mwaka 657. Waligeuka, kwa namna hii, kuwa familia ya wote Mashujaa katika Uislamu – sifa ambayo hakuna yoyote aliyewahi kushirikiana nao. Allah swt. Mwenyewe aliwach- agua kwa ajili ya heshima hii kubwa.

(8). Mtu wa kwanza kusoma Qur’an kwa sauti ndani ya Al-Kaaba alikuwa ni Abdallah ibn Mas’ud, sahaba na rafiki wa Muhammad (s.a.w.w.).
Duuuh we bwana kweli kiboko na bila Shaka utakuwa SHIA weye! Yaani unasema mpk Muhammad uislamu wake aliupata kwa kusilimu!? Hyo ni kufuru ilochupa mipaka ndgu. Then unanichosha maaana unanipa history wakt m nataka hoja. Mjadala Wetu ujikite kuibua na kujibu hoja, m sitaki history maaana tutakesha, tena historia yako ya kibubusa hyo, unarukaruka tu jibu swali "Unafahamu kama waislamu wanaamini vitabu 04 na mitume yake!? mbn hujibu hili?! Haraka ya nini mufti!?
 
mimi nataka tu uone ninachokifaham. dhehebu langu halihusiani na majadiliano haya. je ninachoandika kwa nukuu ni uongo? maana hizo quotes zipo nawe unaweza zipitia.ikiwa nimepotoa sheikh unambie mana mimi si mkamilifu. lakini unambie nimepotoa /potosha wapi. nimeandika kwa mujibu wa quran na hadith. nmekupa historia kidogo ujue kuwa nazungumzia kitu ninachokifaham. nimesoma kidogo sijakufikia wewe sheikh wangu. nimesoma kidogo tu sina ilimu kubwa lakini alahamdulilah kiasi flani si mbaya.....

Duuuh we bwana kweli kiboko na bila Shaka utakuwa SHIA weye! Yaani unasema mpk Muhammad uislamu wake aliupata kwa kusilimu!? Hyo ni kufuru ilochupa mipaka ndgu. Then unanichosha maaana unanipa history wakt m nataka hoja. Mjadala Wetu ujikite kuibua na kujibu hoja, m sitaki history maaana tutakesha, tena historia yako ya kibubusa hyo, unarukaruka tu jibu swali "Unafahamu kama waislamu wanaamini vitabu 04 na mitume yake!? mbn hujibu hili?! Haraka ya nini mufti!?
 
mimi nataka tu uone ninachokifaham. dhehebu langu halihusiani na majadiliano haya. je ninachoandika kwa nukuu ni uongo? maana hizo quotes zipo nawe unaweza zipitia.ikiwa nimepotoa sheikh unambie mana mimi si mkamilifu. lakini unambie nimepotoa /potosha wapi. nimeandika kwa mujibu wa quran na hadith. nmekupa historia kidogo ujue kuwa nazungumzia kitu ninachokifaham. nimesoma kidogo sijakufikia wewe sheikh wangu. nimesoma kidogo tu sina ilimu kubwa lakini alahamdulilah kiasi flani si mbaya.....
Gudume kumbe huku kwenye Ilimu sio kama kulee. Ila hapa naona kuna atakaekimbia mjadala maana mmoja mpemda nukuu mwingine mpenda Maelezo makavu bila nukuu, kwa mwendo huu mtaishia pata potea. Mkimaliza mkumbukw mada tajwa hapo juu mjadili kwa ufasaha huu huu. Tunaheshimu michango yenu.
 
ha ha ha.... mi nipo maeneo mengi na hubadilika kuendana na mazingira... namsubiri jamaa hapa
Gudume kumbe huku kwenye Ilimu sio kama kulee. Ila hapa naona kuna atakaekimbia mjadala maana mmoja mpemda nukuu mwingine mpenda Maelezo makavu bila nukuu, kwa mwendo huu mtaishia pata potea. Mkimaliza mkumbukw mada tajwa hapo juu mjadili kwa ufasaha huu huu. Tunaheshimu michango yenu.
 
Back
Top Bottom