Betting sio biashara halali

Betting sio biashara halali

Betting sio biashara kwa anayebeti ila ni burudani na starehe kama michezo mingine, betting ni biashara kwa bookers na si vinginevyo
Jambo usilolijua, ni sawa na usiku wa giza. Malaki ya Wachina wamehamia ulaya kwaajili ya betting, we unakandya. Kama inakushinda kwenye kucheza, fungua hata ofisi yake uwe wakala maana nayo ni fursa tosha. Sisi tunaocheza, tutakuwa wateja wako.
 
Jambo usilolijua, ni sawa na usiku wa giza. Malaki ya Wachina wamehamia ulaya kwaajili ya betting, we unakandya. Kama inakushinda kwenye kucheza, fungua hata ofisi yake uwe wakala maana nayo ni fursa tosha. Sisi tunaocheza, tutakuwa wateja wako.
umeelewa nilichokiandika? betting ni biashara kwa wabetishaji ila si biashara kwa mbetiji, mbetiji kwake ni burudani
 
Kazi zenyewe ziko wapi? Acha tutafute mtaji ili tujiajili msitusimange enyi wenye ajira
Huo muda unaopoteza kwenye kubet ungeweza kufanya mambo mengine ya msingi na ukapata mtaji wa biashara.
Huwezi kupata mtaji kwa betting, sana sana utakuwa teja wa kubet.
 
Betting sio biashara kwa anayebeti ila ni burudani na starehe kama michezo mingine, betting ni biashara kwa bookers na si vinginevyo
Vijana wanaojazana maeneo ya kubet wanaelewa hilo?
Maana wengi wanachukulia kama fursa ya kipato.
 
Hivi hili upande wa Imani likoje Yakhe?
Maana mie hakika si mpenzi nalo Ila si mbaya kujua Iwapo Li-la kheri ama lah.

Wabovezi twafadhal...
 
Ivi neno vijana ndo mmeona dangulo lakufichia maovu cku hiz sio watoo,wazee,wanasiasa,akina mama,n.k wote wanabet
 
Back
Top Bottom