Betrayal at home

Betrayal at home

Ni mpambanaji, hana uwoga na anajua/alijua the worst thing that can happen ni kumuua sio zaidi ya hapo, he is/was ready for that, wengi wameshapoteza maisha kuanzia kina Ben saanane, Kibao, Mdude ..yana mwisho lakini
Kabisa, Mungu amempa ujasiri wa Daudi,
 
Mkuu, pamoja na kuwa Butiku katoa upupu lakini huenda siyo yeye amemchomea. Hata hao wasaidizi waliokuwa wanakaa naye inawezakana nao wameshapotozwa. Inawezekana kabisa walitekwa kabla na kuteswa ili watoe info zote na wao wamepotezwa. Sasa tunarudi walijuaje alipo? Kwangu mimi, kukaa sehemu kama Dar ilikuwa ni very risk. Watu wakitaka ku-trace target, huwa wanafuatilia ndugu, jamaa na marafiki 24/7. Kila ndugu wa karibu, rafiki anafuatiliwa nyendo zake muda wote wakiwa na tumaini kuwa ni lazima atapeleka mahitaji au atakwenda kumuaona. Kitu kingine: Ukitumia vyombo vya electronics kama simu huko salama sana.
Ngoja tusubilie mkuuu, mda utasema, speech yake ya juzi inatia shaka sana mkuu,
 
Mkuu, pamoja na kuwa Butiku katoa upupu lakini huenda siyo yeye amemchomea. Hata hao wasaidizi waliokuwa wanakaa naye inawezakana nao wameshapotozwa. Inawezekana kabisa walitekwa kabla na kuteswa ili watoe info zote na wao wamepotezwa. Sasa tunarudi walijuaje alipo? Kwangu mimi, kukaa sehemu kama Dar ilikuwa ni very risk. Watu wakitaka ku-trace target, huwa wanafuatilia ndugu, jamaa na marafiki 24/7. Kila ndugu wa karibu, rafiki anafuatiliwa nyendo zake muda wote wakiwa na tumaini kuwa ni lazima atapeleka mahitaji au atakwenda kumuaona. Kitu kingine: Ukitumia vyombo vya electronics kama simu huko salama sana.
Ngoja tusubilie mkuu
 
Duuh yan hata siamini
Wabongo tumetulia tu
We dont take any action
 
Ila kwenye maelezo yake yote hakuna mahali alimtukana mtu! Isipokuwa aliamua kusimama kwenye kile anacho kiamini! Ni bahati mbaya sana ndani ya hizi awamu mbili tumepata bahati mbaya ya kutawaliwa na watu wasiopenda kusikia maoni tofauti na yake wanayo yapenda.
mbona alipoitwa polisi hakwenda??
msimamo wake tokea awali alijua anaishi na kushinda na wahuni,lakini hesabu zake dhidi yao ni kama alikuwa anaishi na malofa.
 
Back
Top Bottom