Best top 5 female rappers of all time

Best top 5 female rappers of all time

AlexProsper

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2022
Posts
3,415
Reaction score
6,285
Wakuu ifuatayo ni orodha ya ma rappers wa kike bora kuwahi kutokea walioendesha mapambano ya mziki wetu huu

Nick minaj
Miss Elliott
Lil Kim
Queen Latifah
Lauryn hill

Hamna ubishi hapa
Ongeza wengine
 
Wewe unayemkubal ni nani usimkubali sister P?
Kunasiku nimepiga simu redioni ku-request ngoma. Nikaomba Bongo hiphop ya Fid. Kipind hiko ndo imetokatoka. Jamaa yangu mmoja anajikutaga mjanja wa mjini alisikia ile call.

Nilivokata simu, jamaa akaja. Ananidiss. eti na ujanja wangu woote nachangua ngoma ya Fid Q. Nashindwa kuchagu mapini ya akina flani flani, anantajia rappers wa huko ma mbele.... Nilimshusha vyeo, nikamwangaliaaa, nikanyamaza. Wakati huo Dj redioni akapress-play request yangu. Nika pump up the volume nikaanza kuvibe na chupa la Ngosha.

Kunawatu wanajiona kwa kushabikia ama kufuatilia mziki wa mbele wao ndo wajanja. Sisi tunaopenda mziki wa hapa ndani ndo mafala beyond repair.

Ukimwambia nitajie rappers wakali wa5 unao wakubali, ndo akutajie akina kendrick, kina eminame sijui, yaani hapo sasa ndo mjanja yeye. We ukisema utupie BONTA pale, rapper wako unae mkubuli ndo atakuona booya wakufikia, mshamba huna unajokijua.
 
Kunasiku nimepiga simu redioni ku-request ngoma. Nikaomba Bongo hiphop ya Fid. Kipind hiko ndo imetokatoka. Jamaa yangu mmoja anajikutaga mjanja wa mjini alisikia ile call.

Nilivokata simu, jamaa akaja. Ananidiss. eti na ujanja wangu woote nachangua ngoma ya Fid Q. Nashindwa kuchagu mapini ya akina flani flani, anantajia rappers wa huko ma mbele.... Nilimshusha vyeo, nikamwangaliaaa, nikanyamaza. Wakati huo Dj redioni akapress-play request yangu. Nika pump up the volume nikaanza kuvibe na chupa la Ngosha.

Kunawatu wanajiona kwa kushabikia ama kufuatilia mziki wa mbele wao ndo wajanja. Sisi tunaopenda mziki wa hapa ndani ndo mafala beyond repair.

Ukimwambia nitajie rappers wakali wa5 unao wakubali, ndo akutajie akina kendrick, kina eminame sijui, yaani hapo sasa ndo mjanja yeye. We ukisema utupie BONTA pale, rapper wako unae mkubuli ndo atakuona booya wakufikia, mshamba huna unajokijua.
Kwa kweli huwa naangaliq kinachonifurahisha. Kwenye PC nina nyimbo z kichina, Korean, Indian, Congo nk wala sijui maana ya hizo nyimbo ila zinaniburudisha. .

Pia nasikiliza nyimbo za santuri coz nina santuri kama elfu 3 hivi. Just for fun...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom