Nini umuhimu wa kuwa na wanafunzi bora kitaifa afu tunawapoteza baada ya muda si mrefu yaani wakimaliza chuo kikuu basi hatuwasikii tena
je serikali inamonita vipi maendeleo yao huko walipo
kumbuka no longer at ease(obi okonkwo alikuwa n.o akapelekwa kusoma nje afu akarudishwa na wana igbo asaidie maendeleo ya kwao)
bongo tunawatumia vipi ma t.o wetu?
je serikali inamonita vipi maendeleo yao huko walipo
kumbuka no longer at ease(obi okonkwo alikuwa n.o akapelekwa kusoma nje afu akarudishwa na wana igbo asaidie maendeleo ya kwao)
bongo tunawatumia vipi ma t.o wetu?