kwnye gta SA hadi madem wa kugonga wapo, cjajua km kwnye V wameeka hyoGTA V yatosha.kama ni vita ipo,magari yapo,mahonda yapo gym ipo,Makanisa yapo, jela ipo,pesa zipo,benki zipo,clubs zipo tabu ya nini?
kwnye gta SA hadi madem wa kugonga wapo, cjajua km kwnye V wameeka hyo
Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
hii apa Swat 4 Free DownloadJaman mwenye game la SWAT4 naombeni maana link zote na download ila game unakuta mission ziko 7 wakat full mission zipo Zaid ya 200 huko
Sent using your Jamii Forums mobile app
Mkuu liko complete kwel hili maana utakuta mission ziko 7 tu wakati zinatakiwa 200+ huko
UMELIJARIBU???Mkuu liko complete kwel hili maana utakuta mission ziko 7 tu wakati zinatakiwa 200+ huko
Sent using Jamii Forums mobile app
dah bas labda ndo game lilivyo mkuu
mkuu zote hizo umecheza?Best game on my list
1# gta v
2# fifa 17
3# nba2k 17
4# battlefield 4
5# titanfall 2
6# wwwe 2k17
7# foroza horizon
8# tomb raider univesary
9# nier automata
10# fallout 4
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji hiyo euro trucks mkuu. Vipi american truck sim na omsi unazo?Ets 2 inanoga ukiwa na mods basi haliish utamu mkuu...
Upate southern region map,mario map,tsm map na Russian baikal hapo utakutana na barabara za vumbi full mitope,kona na milima yakutosha huku umefunga mod ya Horsepower kama 1000 hivi...na nyuma una mzgo wa heavy cargo aaah huez choka euro truck
Ninayo euro truck mkuu ..American nimeifuta kakaNahitaji hiyo euro trucks mkuu. Vipi american truck sim na omsi unazo?
Linahtaj PC ya uwezo gani hili gameGTA V yatosha.kama ni vita ipo,magari yapo,mahonda yapo gym ipo,Makanisa yapo, jela ipo,pesa zipo,benki zipo,clubs zipo tabu ya nini?
Linahtaj PC ya uwezo gani hili game
Napenda namba 3Kwangu mimi ni kama hivi
1. Call Of Duty 3 na 4 pamoja na COD special force.
2. Assasin Creed 2 na 3
3. Need for speed most wanted.
4. Ghost recon
Haya magame utayafaidi ukiwa na processor ya maana. Tupia yako pia.
Thanks to skidrow kwa kuniwezesha kucheza kila game.
Pamoja MkuuCall of duty nmecheza almost zote..ikitoka fifa game nayopenda ni call of duty