gyeetitus
Member
- Dec 16, 2016
- 86
- 39
Hii imenitokea mpenzi niliyempenda sana mpaka najibana matumizi yangu namsaidia yeye mambo yake ya ndani hali ya kuwa ana mtoto aliyekwisha zaa na mwanaume mwingine baada ya kipindi kupita nikiwa Kigoma nampigia simu mpenzi wangu ananambia tuwe marafiki.
Sikutaka kupanic nikamuuliza au amepata mtu mwingine akanambia ndio, nilipomuuliza ni nani akasema ni Emma ambaye ni rafiki yangu kipenzi
niliamua kukata simu na kujiuliza maswali mengi.
Je niwachukie wote au nimchukie nani kwa usaliti walionifanyia?
Naombeni ushauri pia
Sikutaka kupanic nikamuuliza au amepata mtu mwingine akanambia ndio, nilipomuuliza ni nani akasema ni Emma ambaye ni rafiki yangu kipenzi
niliamua kukata simu na kujiuliza maswali mengi.
Je niwachukie wote au nimchukie nani kwa usaliti walionifanyia?
Naombeni ushauri pia