kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Kuna wqtu utumika kumsifia Membe kama kachero Mbobezi bila kueleza amebobea kwenye lipi? Je, nchi yetu inaweza kujivunia Membe Kama kachero au ni mtumishi wa Umma aliyeajiriwa ofisi nyeti kwa kipindi flani?
Kwa namna alivyojitanabaisha wakati akiwa Mbunge, akawa Waziri na baada ya kupokonywa tonge la kuwania Urais utabaini alibebwa na mfumo lakni yeye mwenyewe hana uwezo wa siasa wala nguvu ya hoja.
Hana taarifa sahihi kuhusu mfumo wa serikali na kuishi kwake hadi anazeeka kunaonyesha anasubiri kubebwa siyo kusimama Mwenyewe.
Kuweka watu wa aina hii kwenye kundi la wababobezi ni kushusha hadhi za makachero wabobezi. Mbezi hana kazi yoyote amewahi kuifanya katika ngazi ya Jimbo na ngazi ya kitaifa inayoonekana, majungu tu na kuwasagia sumu wengine wasifanikiwe.
Namwona Membe kama kiumbe mwenye tamaa na majifuno anayetaka wakati wote kutawala na kusimama vichwani mwa watu.
Kwa namna alivyojitanabaisha wakati akiwa Mbunge, akawa Waziri na baada ya kupokonywa tonge la kuwania Urais utabaini alibebwa na mfumo lakni yeye mwenyewe hana uwezo wa siasa wala nguvu ya hoja.
Hana taarifa sahihi kuhusu mfumo wa serikali na kuishi kwake hadi anazeeka kunaonyesha anasubiri kubebwa siyo kusimama Mwenyewe.
Kuweka watu wa aina hii kwenye kundi la wababobezi ni kushusha hadhi za makachero wabobezi. Mbezi hana kazi yoyote amewahi kuifanya katika ngazi ya Jimbo na ngazi ya kitaifa inayoonekana, majungu tu na kuwasagia sumu wengine wasifanikiwe.
Namwona Membe kama kiumbe mwenye tamaa na majifuno anayetaka wakati wote kutawala na kusimama vichwani mwa watu.