nyie sijui mpo dunia ya ngapi, napata shida kujua mnasomea nini na mnafanya nini kama hawa wanaowalea ndo washawapandikiza chuki kama hiyo! alafu nyie sio wazalendo ni kuongwa tu vidola mnasaliti nchi!nampongezaembe ameona mbali na hii itakuwa provrd baadae impact zikianza kuonekana very soon, subiri waanze kulipa deni la NATO. then Watu wote wanaoshabikia gadafi kuuwawa nadhani hawajui nini kinaendelea!gadafi ni mtu kama wewe, he was not perfect, hakuna raisi ambaye hajaua, na katika ukombozi na harakati zake lazima watu wafe hiyo ipo given, sacrife must be there bandugu, tunachojaribu kuangalia ni je, nato nia yao ni nini?kwa nini ni benghazi na sio serte,na je ni libya tu waliona kuna shida?kwanini ni ukanda wa watu wenye mambo sawa kimfanano?kwanini somalia hawaendi?kwa nini israel na parestina, je yanayotokea yemen hawayaoni??
kwanini sadam alishukiwa kuwa na siraha za maangamizi na hawakuziona??je marekani wameua wangapi kuanzia afghanistan, iraq, kongo,sudan, namibia,hata misri wapo nyuma ya hawa vibaraka waliopandikizwa mbegu za chuki??
marekani sio watu, uingereza sio haki!msimamo wa gadafi kukataa kuingia mkataba nao kuchimba mafuta, kukataa unyonyaji kwenye mikataba nchini kwake, kuonekana kuwa na nguvu sana barani afrika na kuwa na nia ya kutuunganisha waliona tutakuwa na nguvu ya maamuzi yetu,sio walibya wote wanaompinga gadafi ni kijisehem cha vibaraka wa magharibi! Na hii ni somalia mpya imetengenezwa afrika lengo ni kuona sisi sio wamoja ili wachume mali zetu zote!je watoto wetu wataishi vipi kama hali ndo hii?
utumwa unarudi polepole watu wasio na maono wanashangalia kuuawawa kinyama kwa gadafi!ipo siku magahribi watajutia tabia zao ambazo tushazijua na libya watamkumbuka sana gadafi, kwanza walipe deni la nato alafu tuanzie hapo ndani ya mwaka utaona!mungu katupa akili tupamnanue mambo na sio kuchukulia mambo kijuujuu!!!!!!!!!!!!!!!USITEGEMEE UTASOMA AU KUANGALIA TV ZA MAGHARIBI KAMA CNN,BBC NA ZINGINE UONE MAZURI YA GADAFI!!!!!!!!!! MARA MIA MUNGU AKUPE AKILI KULIKO SURA!!!!!