Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
wewe ni kibaraka tu huna lolote.si ajabu huko ukawa unafanya kazi za ndani yani house boy au house girl.unakurupuka kutoka usingizini unakuja kuandika madudu apa?ushindwe.kwa taaifa yako Gaddafi ni shujaa wa karne na historia yake haitafutika milele.walibya waliishi maisha ya raha lakini wamepandikiziwa wadudu wabaya/mamluki waloeka ngome pale benghazi.na watajutia walokifanya.