Bwana Mapesa
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,551
- 1,777
Halafu mnasema waafrika mtaenda motoni...nyi moto wenu joto/moshi wa ma dcm hapa hapa duniani..........umekula raha gani wewe mpaka uende motoni
we acha kuongea usichokijuaya ukweli nainatumika katika njia za huko dubai
aisee arifu hiyo ikipita maeneo yetu lazima tuondoke walau na side mirror tukatengenezee vicheni duh!
tutakufa tutaviacha