mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
Yaani!! Vijana wa CDM mawazo DUNI KABISA!!!! Sasa Mkapa akienda kuhitimisha kampeni kuna ubaya gani. Mbona Mbowe, Slaa, etc wote wapo Igunga.
Ni kioja kumtumia retired Presidaa kwa kampeni za ubunge jimbo moja la Igunga, Mkapa wala hawezi kufananishwa na Mbowe wala Dr Slaa (tamka S'aa) ni rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. ccm kumtumia ni kioja kabisa, proves namna kilivopoteza mvuto