Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,843
Wakuu natafuta benki nzuri nchini ambayo ina riba nzuri kwa akaunti ya muda maalum. Nipe kiwango cha riba kabisa kama unafahamu. Kuna mwanangu yuko nje ya nchi anataka awe anaweka vihela vyake hapa Tz maana yeye ni mzalendo kama wazazi wake. N ka hela kake ni ka kudunduliza hakatoshi USISWI. Naomba majibu ya busara, niko serious na post nimepost mwenyewe hasa. Asanteni. JF kisima cha habari.