Nguva Jike
JF-Expert Member
- Jan 22, 2018
- 857
- 1,006
Habari wana Jf.
Nina mjomba Wangu ni mtumishi wa serikali amenikabidhi mwanae nikae nae nipo Arusha kikatiti.
Yeye ni mwalimu wa chuo.Katika likizo hii inayoishia Leo alijaribu kuomba Mkopo wa ada ya mwanae ninaeishi nae hapa kikatiti.Shida alipofika ofisini kwake akaambiwa mfumo wa Lawson una hitilafu hivyo makato hayawezi kupita.
Je,Kwa kuzingatia shule zinakwenda kufunguliwa benki inaweza kumpa Mkopo mwanae akapokelewe shule zetu hizi za kulipia?
Mawazo yenu tafadhali.
Nina mjomba Wangu ni mtumishi wa serikali amenikabidhi mwanae nikae nae nipo Arusha kikatiti.
Yeye ni mwalimu wa chuo.Katika likizo hii inayoishia Leo alijaribu kuomba Mkopo wa ada ya mwanae ninaeishi nae hapa kikatiti.Shida alipofika ofisini kwake akaambiwa mfumo wa Lawson una hitilafu hivyo makato hayawezi kupita.
Je,Kwa kuzingatia shule zinakwenda kufunguliwa benki inaweza kumpa Mkopo mwanae akapokelewe shule zetu hizi za kulipia?
Mawazo yenu tafadhali.