Mwarukuni
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 369
- 370
Ninachokiona hapa ni baadhi ya watu kutoelewa RIBA/interest ni nini hadi kushindwa kuitofautisha na faida,..
RIBA- Riba ni ada inayolipwa na akopaye mali kwa mmiliki wa mali kama fidia kwa ajili ya matumizi ya mali hiyo.
FAIDA-Ziada inayobaki baada kutoa jumla ya gharama katika mapato.
RIBA- Riba ni ada inayolipwa na akopaye mali kwa mmiliki wa mali kama fidia kwa ajili ya matumizi ya mali hiyo.
FAIDA-Ziada inayobaki baada kutoa jumla ya gharama katika mapato.