Benki ya Access Tawi la Mbagala Imevamiwa!

Hata mimi nimesikia breaking news inasemekana wameua watu 4,na wameondoka na kiasi kikubwa cha fedha kwenye Viroba
 
Hata mimi nimesikia breaking news inasemekana wameua watu 4,na wameondoka na kiasi kikubwa cha fedha kwenye Viroba
Wameshaambiwa wekeni polisi,hawajali,hutajisikia tena wizi Tpb,Nbc na Nmb kwa kua serikali ina hisa kule imewalazimisha waweke polisi
 
Mimi nipo hapa hapa Mbagala Rangi 3, na kwa taarifa rasmi, hawa majambazi hawajaua mtu yeyote, na wala hawakufanikiwa kuiba kiasi chochote cha fedha (meneja chonde-chonde, usije jitwalia akiba zetu).

Hongera kwa walinzi wa benki, maana ndio wamepambana na majambazi kwa muda mrefu, hadi majambazi walipoanza kukimbia, na baada ya muda wakazingirwa na askari, na kuanza kukimbia ovyo.

Nitaendela kuwajuza, maana kuna nyumba wameingia, na imezingirwa na polisi... japo mwenye nyumba amekamatwa na anadai hakuna jambazi aliyengia ndani kwake...!
 
Sasa mbona wanatoa habari za uongo kuwa wameweka hela kwenye pikipiki zikiwa kwenye viroba na wamesepa.
Ukituma picha utasaidia sana
 
Reactions: bdo
mkuu tulia hapohapo usiondoke uendelee kutuhabarisha ila ukae kwa machale.
 
Sijui ni lini usalama wa nchi hii kwenye bank zetu utakuwa wa kiwango cha juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…