Amani kwako!
Nataka kufungua account mpya bank, ila naomba nipate ushauri kutoka kwa watu wa profession ya mambo ya banking, kwamba ni benki gani na aina gani ya account nikifungua itakuwa vyema zaidi. Kwa sasa hivi najishuhulisha kwa kazi za kujiajiri mwenyewe, hivyo nikiwa account hii itakuwa ni kwa ajili ya kujikusanyia kile ninachopata kwa kushuhulika huko. Ninaweza nikawa nakusanya humo kwa lengo kuwa kikifika kiwango fulani nikitoe nikipeleke kwenye project nyingine.
Ninajali sana mambo ya makato ya mwezi na ATM charges. Kwa ujumla, najali sana taratibu za bank ambazo 'zinakula' hela yangu humo kama mchwa.
Nadhani kuna mambo mengine pia natakiwa kujali, naomba kuelimishwa. Kisha naomba nishauriwe ni benki gani nzuri na accounts zipi.
Ninaamini hapa watakuwepo watu wenye elimu au uzoefu juu ya hili na nitashukuru kwa elimu hiyo. Lengo langu ni kama nilivyojieleza hapo juu.
Otherwise, M-PESA na Airtel Money ndiyo zili-replace CRDB na NBC kwangu!
Asanteni.
Nataka kufungua account mpya bank, ila naomba nipate ushauri kutoka kwa watu wa profession ya mambo ya banking, kwamba ni benki gani na aina gani ya account nikifungua itakuwa vyema zaidi. Kwa sasa hivi najishuhulisha kwa kazi za kujiajiri mwenyewe, hivyo nikiwa account hii itakuwa ni kwa ajili ya kujikusanyia kile ninachopata kwa kushuhulika huko. Ninaweza nikawa nakusanya humo kwa lengo kuwa kikifika kiwango fulani nikitoe nikipeleke kwenye project nyingine.
Ninajali sana mambo ya makato ya mwezi na ATM charges. Kwa ujumla, najali sana taratibu za bank ambazo 'zinakula' hela yangu humo kama mchwa.
Nadhani kuna mambo mengine pia natakiwa kujali, naomba kuelimishwa. Kisha naomba nishauriwe ni benki gani nzuri na accounts zipi.
Ninaamini hapa watakuwepo watu wenye elimu au uzoefu juu ya hili na nitashukuru kwa elimu hiyo. Lengo langu ni kama nilivyojieleza hapo juu.
Otherwise, M-PESA na Airtel Money ndiyo zili-replace CRDB na NBC kwangu!
Asanteni.