Rapherl
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 3,504
- 2,254
Come again
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
TANZANIA NOW INA-PRACTICE SHARIA LAW wakati wanasema hii nchi sio ya Kidini...
Come again
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Utaumia,upate ugonjwa wa Moyo,hii kitu iko Dunia nzima,na nusu ya wateja wa benki hizi ni wasio waislam.Benki hizi ziko United State of America,United kingdom,Germany,RUSSIA,FRANCE,Nchi yenye asilimia 85 wakatoliki lakini wameikubali Islamic bank kama mkombozi wao.
Yasemekana mpaka Yesu atakaporudi duniani,binadamu asilimia kubwa watafuata sharia za kiislamu,kuanzia Halal Shops,ambazo zimesheenea nchi nyingi duniani,Islamic Banking,zimeshenea duniani,Islamic Insurerance,zimeshaenea duniani,Islamic Tradition Healing,zimeshaenea dunian,Islamic Transport,Islamic hospitals etc
ukisikia uwongo ndiyo huu, faida inapatikana vipi bila riba, ungesema wao hawaiti riba wameipa jina lingine ningekuelewa. Ninachojua mimi ni kuwa hao jamaa riba ipo ila kwa jina lingine nisilolijua. Vinginevyo mishahara ya watumishi wanatoa wapi, gharama za kulipia bili za umeme, pango nk wanatoa wapi kama sio kutokana na riba:wave::wave:
kutengana kwenye huduma za kibenki inawezekana lakini kutengana kwenye huduma za machinjio ni kuligawa taifa......tanzania ni zaidi ya uijuavyo..mateo quares ulinena vema
mix with yours
Ujuwe utofauti wa riba na faida,Riba kila ukichelewa kuilipa inajizaa,lakini faida haijizai.kwa mfano umekopa shati,mwenye duka akikuambia bei ya cash ni sh.5000 lkn ya mkopo ni sh.7000,kwa hiyo hata ukichelewa kulipa ni hiyo hiyo sh.7000.Lakini ukikopeshwa kwa riba,haiwi tena 7000,ukichelewa kulipa riba inazidi kupanda.Badala ya elfu saba utakujakuta walipa mara kumi zaidi ya ulichokopa,kila ukichelewa kulipa kulingana na asilimia ya riba.ukisikia uwongo ndiyo huu, faida inapatikana vipi bila riba, ungesema wao hawaiti riba wameipa jina lingine ningekuelewa. Ninachojua mimi ni kuwa hao jamaa riba ipo ila kwa jina lingine nisilolijua. Vinginevyo mishahara ya watumishi wanatoa wapi, gharama za kulipia bili za umeme, pango nk wanatoa wapi kama sio kutokana na riba:wave::wave:
Haya mambo yapo dunia nzima,sasa ufahamu wewe unayepingana na Dunia,ndio mjinga,maana wahenga walisema MPIGA NGUMI UKUTA ATAUMIA MKONO WAKE MWENYEWE.Wewe sasa wataka piga ngumi ukuta,utaumia mwenyewe,na kuonekana mjinga.Mimi nitaangaika na huo Ujinga wenu.
"Patheticaco Muhhamadan!"-courtesy of MaxShimba.
Foxy niluusu nimtukane uyu kwa niaba yako,ktk uislam hamna propaganda.,.,shame on you
sh.2,000/- ni riba, nadhani ww usichokielewa ni aina za riba, kuna riba za kawaida, na kuna compound interests, etc. Hao jamaa wanatoza riba. Sema tu wao huwa hawanyang'anyi mali za watu ila wateja wao walipa ribaUjuwe utofauti wa riba na faida,Riba kila ukichelewa kuilipa inajizaa,lakini faida haijizai.kwa mfano umekopa shati,mwenye duka akikuambia bei ya cash ni sh.5000 lkn ya mkopo ni sh.7000,kwa hiyo hata ukichelewa kulipa ni hiyo hiyo sh.7000.Lakini ukikopeshwa kwa riba,haiwi tena 7000,ukichelewa kulipa riba inazidi kupanda.Badala ya elfu saba utakujakuta walipa mara kumi zaidi ya ulichokopa,kila ukichelewa kulipa kulingana na asilimia ya riba.
ondoa upuuzi wako hapa wa kupandikiza chuki katika jamii ya watanzania, mimi nimesema ukweli halisi kuwa huwezi pata faida kama hakuna cha juu, ambacho kwa lugha ya kibenki inajulikana kwa jina la riba. HALAFU WEWE UNAKUJA HAPA UNAJIFICHA KWENYE KICHAKA CHA CHUKI, CHUKI ZA NININI NINI KWANZA, KAMA WW UNAWACHUKIA WAKIKRISTO AU watu wasio wa dini yako ni wewe sio kila mtu, anawaza kama wewe, kwa taarifa yako my best friends are muslims lakini sio wenye akili ndogo kama yako, umejaa chuki ambazo ziko wazi kabisa. Kuhusu benki hizo unazopigia debe hujui unatoa riba kwa mlango wa nyuma. Vinginevyo mitaji ingepukutikakaka navyojua bank inawekeza katika miradi mikubwa ndio faida inapatikana,ila kuondoa ubishi google how islamic banking operate utapata details, kwa watu wanaotaka kujua ni vema wakawa na open minds wasiwe driven na chuki then wataujua ukweli wa mfumo huu wa haki wa kiislam.
Haya mambo yapo dunia nzima,sasa ufahamu wewe unayepingana na Dunia,ndio mjinga,maana wahenga walisema MPIGA NGUMI UKUTA ATAUMIA MKONO WAKE MWENYEWE.Wewe sasa wataka piga ngumi ukuta,utaumia mwenyewe,na kuonekana mjinga.
Yapo mambo ya kiislamu unayatumia hivi sasa bila kujuwa au wajuwa lakini huna njia ya kukwepa kwa vile hakuna mbadala.
Foxy niluusu nimtukane uyu kwa niaba yako,ktk uislam hamna propaganda.,.,shame on you