Rapherl
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 3,504
- 2,254
Dah! Kheri ya mnyama kuliko kafiri.
Pole sana.
Dah! Kheri ya mnyama kuliko kafiri.
Mabenki mengi duniani wameona mfumo wa Islamic Banking una ingia akilini na una maana kubwa kibiashara, wala sioni ajabu.
Most "Islamic banks customers in Malaysia are non-Muslims"
Source: http://www.google.co.tz/url?sa=t&rc...PHf3NRAw3Gj8RDX7yevKd0g&bvm=bv.50165853,d.ZG4
hatuzungumzii mkopo tu tunazungumzia mkopo wenye masharti kama riba au au na riba huelewi ni nn?[/QUOTE]Kwanini ukope kama hauna uwezo wa kulipa?
hatuzungumzii mkopo tu tunazungumzia mkopo wenye masharti kama riba au au na riba huelewi ni nn?
Mabenki mengi duniani wameona mfumo wa Islamic Banking una ingia akilini na una maana kubwa kibiashara, wala sioni ajabu.
Most "Islamic banks customers in Malaysia are non-Muslims"
Source: http://www.google.co.tz/url?sa=t&rc...PHf3NRAw3Gj8RDX7yevKd0g&bvm=bv.50165853,d.ZG4
Utaumia,upate ugonjwa wa Moyo,hii kitu iko Dunia nzima,na nusu ya wateja wa benki hizi ni wasio waislam.Benki hizi ziko United State of America,United kingdom,Germany,RUSSIA,FRANCE,Nchi yenye asilimia 85 wakatoliki lakini wameikubali Islamic bank kama mkombozi wao."..We agree to disagree"hii si ndio signature yako??
Islamic banking ni kwa ajili ya kufadhili UGAIDI worldwide!
Kaa usubiri Hadithi yafundisha nini,wakati nusu ya wateja wa Islamic Banking,si waislamu duniani,Baada ya kugundua faida yake,ufaransa asilimia 85 ni wakatoliki lakini Islamic banks zina operate.Hiyo "hadithi" yako inanifundisha nini?
Zinajiendesha kibiashara kwa kupata faida,sio kwa kuchukuwa riba inayojizaa kila mda ukichelewa kulipa mkopo.Naomba kueleweshwa, kama riba haitozwi banks zinajiendeshaje?
Castles in the sky, lunacy at best/Utaumia,upate ugonjwa wa Moyo,hii kitu iko Dunia nzima,na nusu ya wateja wa benki hizi ni wasio waislam.Benki hizi ziko United State of America,United kingdom,Germany,RUSSIA,FRANCE,Nchi yenye asilimia 85 wakatoliki lakini wameikubali Islamic bank kama mkombozi wao.
Yasemekana mpaka Yesu atakaporudi duniani,binadamu asilimia kubwa watafuata sharia za kiislamu,kuanzia Halal Shops,ambazo zimesheenea nchi nyingi duniani,Islamic Banking,zimeshenea duniani,Islamic Insurerance,zimeshaenea duniani,Islamic Tradition Healing,zimeshaenea dunian,Islamic Transport,Islamic hospitals etc
Eti nae huyu anajiita Great Thinker, maajabu!!!
france walipiga marufuku manguo yenu hayoUtaumia,upate ugonjwa wa Moyo,hii kitu iko Dunia nzima,na nusu ya wateja wa benki hizi ni wasio waislam.Benki hizi ziko United State of America,United kingdom,Germany,RUSSIA,FRANCE,Nchi yenye asilimia 85 wakatoliki lakini wameikubali Islamic bank kama mkombozi wao.
Yasemekana mpaka Yesu atakaporudi duniani,binadamu asilimia kubwa watafuata sharia za kiislamu,kuanzia Halal Shops,ambazo zimesheenea nchi nyingi duniani,Islamic Banking,zimeshenea duniani,Islamic Insurerance,zimeshaenea duniani,Islamic Tradition Healing,zimeshaenea dunian,Islamic Transport,Islamic hospitals etc
Topic ni Islamic banking,usitoke nje ya mada,waleta mambo ya nguo.Shule za ziro utazijuwa tu.france walipiga marufuku manguo yenu hayo
Foxy niluusu nimtukane uyu kwa niaba yako,ktk uislam hamna propaganda.,.,shame on youkila propaganda ya kiislamu unayookota kwenye mtandao kwako ni ukweli
Nilikuwa sijui kama Tanzania ni nchi ya dini fulani!
BS!
Dah! Kheri ya mnyama kuliko kafiri.
ukisikia uwongo ndiyo huu, faida inapatikana vipi bila riba, ungesema wao hawaiti riba wameipa jina lingine ningekuelewa. Ninachojua mimi ni kuwa hao jamaa riba ipo ila kwa jina lingine nisilolijua. Vinginevyo mishahara ya watumishi wanatoa wapi, gharama za kulipia bili za umeme, pango nk wanatoa wapi kama sio kutokana na riba:wave::wave:Zinajiendesha kibiashara kwa kupata faida,sio kwa kuchukuwa riba inayojizaa kila mda ukichelewa kulipa mkopo.
Hivi na wewe umo kwenye orodha ya watu ambao wamefuta ujinga? mtu kama weeeeweee hata ukiulizwa kuna dini ngapi duniani hujui, unachojua ni kudharau watu wengine na kujiona ni bora kuliko watu wengine, THINK OUT OF THE BOX. Maandiko yenyewe ya kitabu chako huyafuati halafu unaleta dharau zako hapa. leo nimekwambia hapa, Siku nyingine nitakuPMDah! Kheri ya mnyama kuliko kafiri.