Ex Spy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2007
- 213
- 1,726
Itakumbukwa 28 Machi, 2023 kulikuwa a mechi baina ya timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) dhidi ya timu ya Taifa ya Uganda (Uganda the Cranes) kuwania kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON). Siku hiyo umeme ulikatika wakati mechi hivo inaendelea katika Uwania wa Benjamin Mkapa.
Kufuatia hali hiyo, Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, (Mb) alimuelekeza Naibu Waziri Me. Hamis Mwinjuma, (Mb) kukaaa na wataalamu kuchunguza tatizo la kukatika meme katika uwanja huo hasa wakati mechi zinaendelea kuchezwa na kupata suluhisho la tatizo hilo.
Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, (Mb) alipokea taarifa ya wataalamu wa meme ambao walimueleza kuwa chanzo cha hitilafu ya kukatika kwa meme Uwanja wa Benjamin Mkapa ni kutokana na mchanganyiko wa meme wa jenereta na umeme wa gridi ya taita katika kuwasha taa za uwanja huo na wakapendekeza kuwa taa hizo ziwashwe na umeme wa jenereta pekee.
Mapendekezo hayo ya wataalam yalitekelezwa kama walivyoshauri. Hata hivyo, hitilafu ya kuzimika kwa taa imejitokeza tena usiku wa leo wakati ya mechi ya Yanga na Rivers United ya Nigeria ambayo ni mechi ya robo fainali ya Michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika.
Kutokana na kujirudia kwa hali hiyo licha ya ushauri wa wataalam kufuatwa, Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana. (Mb) ameagiza hatua zifuatazo kuchukuliwa.
1. Kusimamishwa kazi ili kupisha chunguzi watumishi wanaohusika a undeshaji wa uwanja. Kufuatia agizo hilo na kwa mamlaka aliyonayo, Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa a Michezo Bw. Saidi Yakubu amewasimamisha kazi watumishi wafuatao ili kupisha uchunguzi,
3. Katibu Mkuu kuwasiliana na wadau wote husika ili mechi zitakazochezwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa zichezwe wakati wa alasiri/jioni badala ya usiku katika kipindi ambacho wizara ianakamilisha taratibu za kupata mzabuni atakayefanya ukarabati mkubwa katika wanja huo kabla ya kuanza kwa msimu ujao wa ligi/michuano ya kimataifa.
4. Ameagiza mamlaka za nje ya Wizara kufanya chunguzi wa kukatika meme katika uwanja huo na hatua za kuchukua.
Wizara inaomba radhi mashabiki wa soka nchini hususan wa timu ya Yanga kwa kadhia iliyojitokeza. Wizara Inawaahidi Watanzania wote kwamba Itaendeea kutanya ukarabati mdogo na mkubwa ilI Uwanja wa Benjamin Mkapa uendelee kutoa huduma na burudani stahiki kwa Watanzania pamoja na nchi jirani zinazotumia uwanja huo.
Kufuatia hali hiyo, Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, (Mb) alimuelekeza Naibu Waziri Me. Hamis Mwinjuma, (Mb) kukaaa na wataalamu kuchunguza tatizo la kukatika meme katika uwanja huo hasa wakati mechi zinaendelea kuchezwa na kupata suluhisho la tatizo hilo.
Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, (Mb) alipokea taarifa ya wataalamu wa meme ambao walimueleza kuwa chanzo cha hitilafu ya kukatika kwa meme Uwanja wa Benjamin Mkapa ni kutokana na mchanganyiko wa meme wa jenereta na umeme wa gridi ya taita katika kuwasha taa za uwanja huo na wakapendekeza kuwa taa hizo ziwashwe na umeme wa jenereta pekee.
Mapendekezo hayo ya wataalam yalitekelezwa kama walivyoshauri. Hata hivyo, hitilafu ya kuzimika kwa taa imejitokeza tena usiku wa leo wakati ya mechi ya Yanga na Rivers United ya Nigeria ambayo ni mechi ya robo fainali ya Michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika.
Kutokana na kujirudia kwa hali hiyo licha ya ushauri wa wataalam kufuatwa, Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana. (Mb) ameagiza hatua zifuatazo kuchukuliwa.
1. Kusimamishwa kazi ili kupisha chunguzi watumishi wanaohusika a undeshaji wa uwanja. Kufuatia agizo hilo na kwa mamlaka aliyonayo, Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa a Michezo Bw. Saidi Yakubu amewasimamisha kazi watumishi wafuatao ili kupisha uchunguzi,
- Salum tumbuka - Kaimu Meneia wa Uwanjawa Benjamin Mkapa
- Manyori Juma Kapesa - Mhandisi wa Umeme wa Uwanja wa Benjamin Mkapa.
- Tuswege Nikupala - Afisa Tawala Uwanja wa Benjamin Mkapa
- Gordon Nsajigwa Mwangamilo
- Gabriel Mwasele
- Yanuaria Imboru
- Dkt. Christina Luambano
3. Katibu Mkuu kuwasiliana na wadau wote husika ili mechi zitakazochezwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa zichezwe wakati wa alasiri/jioni badala ya usiku katika kipindi ambacho wizara ianakamilisha taratibu za kupata mzabuni atakayefanya ukarabati mkubwa katika wanja huo kabla ya kuanza kwa msimu ujao wa ligi/michuano ya kimataifa.
4. Ameagiza mamlaka za nje ya Wizara kufanya chunguzi wa kukatika meme katika uwanja huo na hatua za kuchukua.
Wizara inaomba radhi mashabiki wa soka nchini hususan wa timu ya Yanga kwa kadhia iliyojitokeza. Wizara Inawaahidi Watanzania wote kwamba Itaendeea kutanya ukarabati mdogo na mkubwa ilI Uwanja wa Benjamin Mkapa uendelee kutoa huduma na burudani stahiki kwa Watanzania pamoja na nchi jirani zinazotumia uwanja huo.