Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,508
- 7,112
Sisi vijana tumegeuzwa mtaji wa kisiasa. Na ndio Maana tunatumiwa kipindi cha uchaguzi baada ya apo tunaachwa solemba. Na wakati nchi kama China wanawatumia vijana katika Tasnia ya maswala ya technologyHaya wanapeana tuu ajira vijana tupo kitaa tuu