Nkobe
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 2,227
- 3,330
Nimetembea maeneo mbambali Arusha, nimegundua kuwa bendera nyingi za CCM zimeondolewa. Ukienda kwenye mashina ya CCM bendera zimeng'olewa.
Nimehoji watu wengi wanasema kuwa CCM ni chama cha waonevu, kinapokonya haki ya wanachama wake na kuwa chama cha familia.
Wanasema Tumechukizwa na jinsi Lowasa na wagombea wenye heshima CCM kukatwa, wanasema "hatukuchukizwa na Lowasa tu kukatwa,bali kuona kijana mdogo kama Makamba alieupata Uwaziri juzi anaweza kuwa na uwezo wa kuingia tano bora kuliko wale walioitumikia CCM miaka mingi kama akina Sitta na wengineo.
Na jambo lingine linalowakasirisha ni kuona kuwa matamko yametimia kama "Rais wa Tanzania hatatoka Kaskazini".
Nimehoji watu wengi wanasema kuwa CCM ni chama cha waonevu, kinapokonya haki ya wanachama wake na kuwa chama cha familia.
Wanasema Tumechukizwa na jinsi Lowasa na wagombea wenye heshima CCM kukatwa, wanasema "hatukuchukizwa na Lowasa tu kukatwa,bali kuona kijana mdogo kama Makamba alieupata Uwaziri juzi anaweza kuwa na uwezo wa kuingia tano bora kuliko wale walioitumikia CCM miaka mingi kama akina Sitta na wengineo.
Na jambo lingine linalowakasirisha ni kuona kuwa matamko yametimia kama "Rais wa Tanzania hatatoka Kaskazini".