meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,828
Ni ndani ya siku hizi tatu ninashuhudia utitiri wa bendera za ACT haswahaswa katika mitaa ya Kimandolu na Ngulelo.
Sijaelewa kwanini na sifahamu ni nani anayezigawa na pia inashangaza kwanini zinapepea tena karibu na barabara.
Siasa ya mwaka huu ni ngumu, wanasiasa wanaonesha ulaghai huku raia wakiwa wajanja mno!
Sijaelewa kwanini na sifahamu ni nani anayezigawa na pia inashangaza kwanini zinapepea tena karibu na barabara.
Siasa ya mwaka huu ni ngumu, wanasiasa wanaonesha ulaghai huku raia wakiwa wajanja mno!