Huliza
JF-Expert Member
- May 5, 2017
- 392
- 982
Mbombo i ngafu ,Kazi ipo
Wafuasi wa ACT wazalendo Tarime waungana na CHADEMA kumpokea Tundu Lissu wakiwa na uniform zao na bendera zao.
Ni dhahiri sasa Tundu Lissu anawachezesha CCM na NEC segere
Hii ni kidalipo
Kama ni ndumba au Mzizi basi huu mzizi ni somba somba na Mzizi wa kimbunga
Tundu Lissu akiwa Rais atupeleke kwenye huu mzizi wa kujaza watu bila matangazo ya television na kuswaga kama punda
Huyu Mganga wake anatumia uchawi gani kushawishi watu wamfuate Lissu uwanjani na barabarani, Hii ni dawa ya nchi gani?
Wafuasi wa ACT wazalendo Tarime waungana na CHADEMA kumpokea Tundu Lissu wakiwa na uniform zao na bendera zao.
Ni dhahiri sasa Tundu Lissu anawachezesha CCM na NEC segere
Hii ni kidalipo
Kama ni ndumba au Mzizi basi huu mzizi ni somba somba na Mzizi wa kimbunga
Tundu Lissu akiwa Rais atupeleke kwenye huu mzizi wa kujaza watu bila matangazo ya television na kuswaga kama punda
Huyu Mganga wake anatumia uchawi gani kushawishi watu wamfuate Lissu uwanjani na barabarani, Hii ni dawa ya nchi gani?