Bendera ya taifa Tanzania

Status
Not open for further replies.

Lekanjobe Kubinika

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2006
Posts
3,019
Reaction score
580
Source: Kibonzo gazetini leo (modified)

Mwalimu: Wanafunzi, rangi za BENDERA ya Taifa la Tanzania ziko ngapi?
Mwanafunzi: Nne!

Mwalimu: Zitaje.
Mwanafunzi: Kijani, Bluu, Njano na Nyeusi

Mwalimu: Rangi hizo zina maana gani?
Mwanafunzi1: Kijani ni ccm.. hapana, ni Kilimo

Mwalimu: Mwingine?
Mwanafunzi 2: Njano ni TLP.... hapana, ni Mali asili

Mwalimu: Enhee, mwingine?
mwanafunzi: Bluu Chadema, hapana ni maji ya maziwa, mito na bahari

Mwalimu: Iliyobakia?
Mwanafunzi: Nyeusi ni TANESCO, apana, ni GIZA.
 
nyeusi ni TANESCO, hapana ni Giza, huyo dogo mtumeni kwangu nimzawadie pipi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…