Ben Saanane whereabouts to be unfolded at JamiiForums

Kw
English sio lugha yetu boy lakini hata kwenye kiswahili chetu watu huwa wanakosea sana tu
Huu ni ulimbukeni kwa wenye kujielewa hawawezi kukosoa vitu kama hv
Kama wewe ni mwalimu wa English
Kasahihishe mitihani hukoo ndio uchambue makosa ya spellings
Fvck

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza yeye ndio aliyekosea mleta uzi yupo sawa
 
haswaaa, hii inatakiwa itumike kwenye mtongozo,

hiv wale walokole wanao ombaga sana kwa makelele nako wawaza kutumia ngeli kwelii! Maana kwa speed ile waweza utapike utumboo
Kwenye mtongozo inanoga hlf flow inakuja bila kipingamizi. Walokole wanaoomba kwa kupiga kelele ni masikini fanya utafiti mkuu.
 
Humu JF member wengi tu wanakosea sana maneno ya Kiswahili katika uwasilishaji wao wa mada mbalimbali,ila ni nadra sana kuona aliyekosea kwa lugha ya kiswahili kusahihishwa au kukosolewa!

Ila ikitokea mleta mada au mchangiaji amekosea kidogo tu kwa lugha ya mkoloni basi kila mtu atageuka na kua mwalimu wa English!!

Mimi hua naona ni aibu zaidi mtu kukosea lugha yake ya asili "Mother tongue" kuliko kukosea lugha ambayo sio yake,ila humu inaonekama kama kukosea kiswahili ni jambo la kawaida ila ukikosea lugha ya mkoloni ndio aibu na ni ajabu!!
 
It has been so long since à well known personel secretary of Mh Mbowe went missing .

The where about of the missing went viral to international levels unfortunately the authorities in Tanzania decline the allégations that it was involved in this saga.

Unexpectedly un unknown person at jamiiforum whom before Ben saa nane went missing he spit threatening words yesterday he/she posted à controversial message seems to worn the public on un unjust regime .

The man use the Id of Tumainiel provoked anger and havock to many jamiiforum users as they held him accountable for the missing of Mr saa nane !

Let us hope this Will mark à Journey towards the unfold of this missery befallen Mr Ben Saa Nane.

God bless democracy
God bless jamiiforum
God bless Tanzania
Tumainiel has a story to tell and he is trying hard to provoke fellow citizens concerning Ben disappearance for unknown reasons
 
Viingereza vya watanzania huwa sivielewi kabisa!!!??!! Sarufi na mawazo ya mwandishi viko kwenye mgogoro; anataabika na kuteseka.

Lakini kama ni kwa malengo ya kujifunza, BASI SAFI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
English sio lugha yetu boy lakini hata kwenye kiswahili chetu watu huwa wanakosea sana tu
Huu ni ulimbukeni kwa wenye kujielewa hawawezi kukosoa vitu kama hv
Kama wewe ni mwalimu wa English
Kasahihishe mitihani hukoo ndio uchambue makosa ya spellings
Fvck

Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi wenu hata hicho "Kiswahili" hamkiwezi wala hamkijui.

Naupenda ule msemo wa FaizaFoxy - "Hivi huko shule mlienda kusomea ujinga?"

Ni wakati sasa serikali ifanye juhudi za kukilinda Kiswahili kisipotee na kuharibiwa moja kwa moja badala ya kuking'ang'ania Kiingereza ambacho nacho kimetushinda vibaya sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom