Beki tatu wetu mkali kuliko demu wako..

Beki tatu wetu mkali kuliko demu wako..

Tairus

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2013
Posts
680
Reaction score
1,068
Kabla ya salam naomba niseme kuna watu wameumbwa huku duniani..
Natumai mu wazima wote.

Leo namleta kwenu beki tatu wetu uniambie kama demu wako anaona ndani..[emoji28]

Sifa ya kwanza beki tatu wetu hajui kiswahili..
Ni ngeli tuu inatembezwa humu ndani[emoji28][emoji28]
Utasikia G the tea is ready,mara G lets go shopping au G you have a guest ivyo yaan muda wote mtoto hana kabisa uswahili.

Sifa ya pili beki tatu wetu ni mkali yaan mtaa mzima wanamuelewa..Nikitembea nae utazani ndo jiko lenyewe mpaka kuna wakati nishafikiria kumuacha demu wangu.

Sifa ya tatu beki tatu wetu anajua kuvaa yaan si mtu wa outing kiivyo lakini hayo mapigo yake apo ndani lazima ukae chini mobeto akasome.

Mtoto ni msafi bhana asikuwambie mtu,saa kumi na moja mtoto yuko jikon kwenye saa mbili kamaliza kila kitu..utasikia G am tired.

Mapishi yameenda shule,habahatishi kama kina mwajuma wenu.[emoji28][emoji28]

Ni mpole halafu haongei sanaa sijawahi kumuona kakasirika.

Mtoto bado mchanga atakuwa bikra huyu..[emoji28][emoji28] sijawahi kumsikia akiongelea maswala ya wanaume kabisa yaan.

Sasa kuna watu watabisha we ushawahi ona wapi beki tatu yuko Instagram followers kama 100k ivi..[emoji28][emoji28][emoji28]

Unabisha tuma picha ya beki tatu wenu..
20181210_092521.jpeg
 
Kabla ya salam naomba niseme kuna watu wameumbwa huku duniani..
Natumai mu wazima wote.

Leo namleta kwenu beki tatu wetu uniambie kama demu wako anaona ndani..[emoji28]

Sifa ya kwanza beki tatu wetu hajui kiswahili..
Ni ngeli tuu inatembezwa humu ndani[emoji28][emoji28]
Utasikia G the tea is ready,mara G lets go shopping au G you have a guest ivyo yaan muda wote mtoto hana kabisa uswahili.

Sifa ya pili beki tatu wetu ni mkali yaan mtaa mzima wanamuelewa..Nikitembea nae utazani ndo jiko lenyewe mpaka kuna wakati nishafikiria kumuacha demu wangu.

Sifa ya tatu beki tatu wetu anajua kuvaa yaan si mtu wa outing kiivyo lakini hayo mapigo yake apo ndani lazima ukae chini mobeto akasome.

Mtoto ni msafi bhana asikuwambie mtu,saa kumi na moja mtoto yuko jikon kwenye saa mbili kamaliza kila kitu..utasikia G am tired.

Mapishi yameenda shule,habahatishi kama kina mwajuma wenu.[emoji28][emoji28]

Ni mpole halafu haongei sanaa sijawahi kumuona kakasirika.

Mtoto bado mchanga atakuwa bikra huyu..[emoji28][emoji28] sijawahi kumsikia akiongelea maswala ya wanaume kabisa yaan.

Sasa kuna watu watabisha we ushawahi ona wapi beki tatu yuko Instagram followers kama 100k ivi..

Unabisha tuma picha ya beki tatu wenu..View attachment 962510
Huyo ndie beki tatu wenu?
 
Naona vyuma vimekaza hadi unamtangazia biashara kijanja bimkubwa wako
 
Back
Top Bottom