Ukiona hivyo kaona jamaa nae yuko kiasarasara,anatoatoa mimacho kama komba kwa hiyo naye beki3 kaona asilaze damu
Jamani,beki 3 ananitega,beki 3 anatikisa masaburi mbele yangu,beki 3 anataka anakula kungu,beki 3 anadai hawezi kulala peke yake anaogopa...mke wangu yupo Igunga kwenye semina,nifanye nn mie?
Kemea pepo hilo.
Kumbuka kiapo chako kwa mke wako.
Nitakuwa mwaminifu kwako, maisha yangu yote.
Mkanye huyo beki tatu, mwambie awe na adabu avae vizuri na awe na staha mbele yako.
Kuwa mkubwa wewe, acha kumpa Ibilisi nafasi.mia
Maslimu yule mzee wa mia.
kwa jinsi ulivyoipresent post,kwa madaha na mbwembwe nyingi...unachotaka kuambiwa ni 'go ahead'
LD, kuna kila sababu ya kuangalia upya maana ya hili neno "uaminifu"...
Kuwa nikifanya ngono na mtu mwingine hata kama simprndi ninakosa uaminifu?...
Kuwa nikifanya ngono kwa sababu ambazo sio mapenzi, nakosa uaminifu?...
I still doubt on that...
kwa jinsi ulivyoipresent post,kwa madaha na mbwembwe nyingi...unachotaka kuambiwa ni 'go ahead'
mkuu ingekuwa natamaa mbona ningekula tayari,tatizo anafanya mambo ambayo kwa rijali kama mimi khari inakuwa ngumu.
Kumbe huna tamaa na rijali.......sasa fanya maamuzi basi,usitupotezee muda na kutujazia space na post za kufurahisha genge
Tuko mbona leo umekuwa hivyo mkuu
Nilitegemea uwe the other way round
Kabila gani huyo haucgal? manake najua weng ni wa kwetu Iringa na Njombe<sasa km anakula kungu,napata wacwac kidogo! Chapa ilale....
huyo ni wa Singida,hapo vp?
Hii kahawa tu,nashukuru moderator kaihamishia kwenye fungu la "chit chat au porojo"
tehe umenikumbusha bwana mmoja alikuwa anafanyiwa hivo na housegirl wake
akaamua kumnunulia simu,kwa bahati nzuri huyu bwana nia mhasibu mda mwingi
anachelewa kulala kwani anakuwa na kazi nyingi za auditing
, ikawa housegirl anamjia sebuleni hapo kumuomba amfundishe kutuma msg
na wakati huo mkwewe anakuwa kalala,housegirl humjia na kanga moja tu kwa vile dar ni joto
huku akimuegemea bwana mkubwa begani na chuchu zake zikimgusa jamaa kadata manake
chuchu zenyewe ni 6 oclock standing, jamaa kala mtoto hadi akajisahau huwa anaamka
hata usiku kumega,siku moja mkewe kashtuka kaanza kumtafuta mumewe kuanzia bafuni
sebuleni hakumwona ndipo aliposikia miguno chumbani kwa housegirl,alipoingina kawakuta
wanamegana kutahamaki kajitetea alipokuwa sebuleni kaona panya akiingia chumbani kwa binti ndio kaja kumtoa.
i think huyu bwana yupo jf na anaisoma hii mada hahaha ndivo hivo usijaribu kaka
jikaze kidume
aiseee ishu ya masaburi ya beki 3 mi sina neno kweni wengi wamenona haswa kwan wao si wachakarikaji wanakula na kulala.mi niko tofauti kidogo na michango mingi iliyopita.