uzi wa watoto wakishua huuJapo nimetumia kiswahili
Kabisa tutoke tuwaachie slay queen na mabrazameni.uzi wa watoto wakishua huu
uzi wa watoto matajiri huu sadaka tutazipa speak English pleaseKama kawaida baba mtumishi sadaka tunaweka wapi?😵
Natumia ai bamchungajisema nini kumbe ukiamua unagonga yai vizuri kabisa wakili msomi☺️
Hapa nina sadaka inayonigusa, inayouma😖uzi wa watoto matajiri huu sadaka tutazipa speak English please
sadaka inayouma ndiyo yenyewe sasa uliza utaambiwa toa hiyo hiyoHapa nina sadaka inayonigusa, inayouma😖
English please, we dont discuss the subject in kiswahiliHakuna ukweli kama huu hapa duniani
Jamaa kaongea ukweli mchungu sana aisee.Kama mwanaume hujaelewa hapa kwisha kabsa.
Ndugu yetu Bwege2030 kamaliza kila kitu hakuna kilichobaki.@mshana jr,secretarybird@monetary doctor..?
Kweli kabsa mtu kwa mfano ukipata ardhi ya rutuba ukalima ekar 10 ukapata gunia (40 kiwango cha chin4) na ukapgia xtoo ndani ya miaka 5 unakuwa na gunia 250.ukiuza kwisia pesa nje nje...?Mkiitaka mali mtapata shambani...wasomi haiiiii
Kweli kabsa mtu kwa mfano ukipata ardhi ya rutuba ukalima ekar 10 ukapata gunia (40 kiwango cha chin4) na ukapgia xtoo ndani ya miaka 5 unakuwa na gunia 250.ukiuza kwisia pesa nje nje...?Mkiitaka mali mtapata shambani...wasomi haiiiii