Being a wife material sucks


Duh aiseeee!! halafu wa hivyo akiachwa napo analia ooh nisamehe nilipitiwa na shetani, khaaa!! shetani tunamsingizia kwa mengi
atoto, brenda18, housegirl
 
Last edited by a moderator:
Duh aiseeee!! halafu wa hivyo akiachwa napo analia ooh nisamehe nilipitiwa na shetani, khaaa!! shetani tunamsingizia kwa mengi
atoto, brenda18, housegirl

Mkuu ,yaani jamaa kwa jinsi anampenda ,kumthamini na kumheshimu mkewe kabaki dilema, anatokwa machoz tu muda wooote ,unajua inauma sana mkuu, kakata tamaa kabisa ya maisha ya ndoa, anakuambia hajamuuliza chochote kile hadi sasa kiasi kwamba mkewe analia tu kila siku nisamehe mume wangu nisamehe shetani kanipitia. Jamaa ananambia yaani kaona kugegedwa nje tu haitoshi kaamua kupigwa mimba kabisa!?, machozi tu yanamtoka mkuu acha kabisa, usiombe hii ikutokee
 
Last edited by a moderator:
Hapo kwenye red ndipo kuna mchawi wako! wengi wanakua na dharau na kujikweza na kuishi maisha kama ya akina oprah, beyonce, rihanna and the alike!!! my sista kama na wewe uko hivyo geuka mapema, you still have time!!
 

Huyo sasa ndio wale ninaowaona Mimi walitaka tuu to put on a white dress without knowing the meaning of it , nonsense .. Hakuna cha kusingizia shetani hapo .. If MTU unajua mke or mume WA MTU umefunga ndoa Church or mosque why she entertained things that are adversaries of the devil .. Huyo alikuwa a wife of material things and not a really a wife material .. Jamani some men and women have to know ukishakuwa mume or mke WA MTU everything has to change jamani.. Everything has to be about God, your husband or wife and family full stop. Huyo she definetly hajitambui na divorce amedesserve it .. Because once you are becoming a cheater you will be always a cheater , unless Jesus has to save your Soul.. .Thanks..
 

Jamani MPE Pole.. Inauma sana.. Some people are so cruel.. Tell him to forgive na ajipe muda WA kuwa mwenyewe and God so he can heal.. Thanks..
 
Pls Don change ww baki hvo hvo wife material mungu anajua mengi kuliko ww....Unaweza kuona unachelewa but god knows ur denstination...uckimbilie mume ni bora Ubaki bla kuolewa lakini utunze heshima yko...ww sio wa kwanza kufanya ivo hata yesu Kristo hakuoa....ucniulize kama hakuona anaefaa au kwakua alikua masiha mm cjui
 

I can imagine ndugu yangu!! mimi tu hapa nimeumia hivi japo simjui jamaa itakuwa yeye mkuu!! Hizi ndoa ni changamoto kabisa. Nilijua tu lazima amsingizie shetani
Mkuu kaa karibu sana na huyo rafiki yako, anapitia kipindi kigumu sana ktk maisha yake!! anaweza naye akaingiwa na shetani akafanya jambo baya sana aiseee!! yaani we acha kabisa mkuu, mi naelewa mke/mume anavyouma
 
Exactly my kaka. Yani ingekuwa binadamu ndo tunaamua maisha ya mtu yawaje, kuna watu wangepata tabu mno. Tunasahau kuwa wote tunaishi kwa neema tu.

Kweli kabisa tunaishi kwa neema tu kwa kweli


BTW umemsoma hapo juu mkuu mbalizi1 kuhusu hiyo ndoa ilivyoingia shubiri
 
Last edited by a moderator:
I hear ur argument madam. hata mm nilisha tathimini hilo ni kweli. kuna madem nawajua wana hook na waume za watu + boyfrend+ flirtionship kibao but wanaolewa. I think the trick is, ukiwa na vidumu vingi they manage ku fake kuwa loving ili usishitukiwe kwamba unae mwingine so they guy thinks u lov him soooo damn much, and he will be like hey ! bby will you marry me? n the girl will be like WHY NOT BBY!. Bingoo!
ni mtazamo tuu na sio General rule.
 
Kweli kabisa tunaishi kwa neema tu kwa kweli


BTW umemsoma hapo juu mkuu mbalizi1 kuhusu hiyo ndoa ilivyoingia shubiri

Yeah nimemsoma my kaka. Ndoa ni mtihani sometimes mmh
 
Last edited by a moderator:
Kama kuna kitu kigumu ni kuficha true characters. Ndio hawa unawaona malaika, mmeenda kidate anavyomdharau waitress, moyoni unaanza kujisemea nikifirisika haya macho anayomchoma nayo waitress si yataniua!

Nduki
 

We need to talk
 

Hvi just out of curiosity lazima mtu aolewe in her 20s???
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…