Siku zote Sema sina hela,usiseme hatuna hela,hyo 1 milli wako kibao wanaweza kuitoa hata leo.sio kila mtu amepigika sababu ya utawala mpya kuna wengine wanapiga hela kama kawa.tena sasaiv ndo wanazi zaidi,ndio maisha yalivyo,wewe ukiwa msibani wenzio mtaa wapili wako harusini.hakuna mtu anaweza kuja kutoa pesa hizo kununua nyumba hiyo
Pesa chafu ikiwa nyingi kwenye mzunguko thamani ya soko la nyumba hupanda maradufu,sababu watu wanatumia real estate kama sehemu ya kufanya money laundering.kuna kipindi wakazi wa london(west kama sikosei) walikuwa wanalalamikia hayohayo
Unajifariji,mapori yako mengi na watu bado wanataka humo humo mulimojengwa,ardhi ya Dar haitashuka bei kamwe,ukitaka rahisi kapange kijijini.Umenena vyema. Kile kiburi cha hawa wenye nyumba kinakaribia kuisha. Hatimaye Mungu amesikiliza kilio chetu. Bei ya kupanga Dar ilikuwa ni kichaa. Bei halisi ya nyumba, viwanja itarudi tu.
Utashangaa muda si mrefu,kwa eneo hilo hiyo ni bei sawiahakuna mtu anaweza kuja kutoa pesa hizo kununua nyumba hiyo
Kwahiyo kama Ada Estate?? Inamaana wewe unadhani Ada Estate Na Beverly Hills wanapokaa mastaa wa Hollywood ni thamani sawa??
Ni kweli kuna watu nawajua tangu utawala huu wanahela chafu tena chafu ndio ushangae tena wanapiga hela mbaya.sema km huna access ya kupiga sawaSiku zote Sema sina hela,usiseme hatuna hela,hyo 1 milli wako kibao wanaweza kuitoa hata leo.sio kila mtu amepigika sababu ya utawala mpya kuna wengine wanapiga hela kama kawa.tena sasaiv ndo wanazi zaidi,ndio maisha yalivyo,wewe ukiwa msibani wenzio mtaa wapili wako harusini.
Siku zote Sema sina hela,usiseme hatuna hela,hyo 1 milli wako kibao wanaweza kuitoa hata leo.sio kila mtu amepigika sababu ya utawala mpya kuna wengine wanapiga hela kama kawa.tena sasaiv ndo wanazi zaidi,ndio maisha yalivyo,wewe ukiwa msibani wenzio mtaa wapili wako harusini.
Unaishi wapi wewe? Unashangaa hapo, Makongo juu kuna eneo la billioni mbili na bado ni porini sio kama hiyo sehemu!
Teh teh. Nimecheka kwa sautiSio kwa mwaka huu wa fedha
Ni kweli ndg, soko la nyumba na viwanja Dar limeathirika sana, hata wakibishaUkweli unabaki pale pale soko la real estate sasa hv dsm limeathirika...viwanja vimeshuka bei...na bado vitashuka bei kutokana na mzunguko wa pesa kupungua nimeshuhudia bei za viwanja mbweni na bunju...vilivyokuwa vinauzwa 150m sasa hv vinatangazwa 90m na bado havinunuliwi kwa kasi.