Mkata Mtaa
Senior Member
- Jun 10, 2016
- 136
- 143
Hizo bei zilikuwa kabla ya JPM, kkwa sasa serikali inahamia Dodoma na ufisadi hakuna tena
Namshauri mtu yeyote anayetaka kununua nyumba ama kiwanja hasa Dar es salaam asubiri kidogo tu mwezi wa 9 Majaliwa akihamia Dodoma,Nyumba zitashuka bei sana,madalali watakosa kazi na ajira za wamasai,Walinzi na mbwa zitaongezekabmaana majumba yatafungwa.
Nakwambia mpaka sasa wamiliki wameteremsha bei kidogo lakini watashusha tu,Hamna shaka.
Serikali inahama tu,Na sala na maombi yote Mungu ampe Uzima na Afya Hon. Magufuli ahamishe mapema,Watu tuishi kama malaika na mashetani waondoke.
Nyumba za self container juzi jumapili nimepata sinza kwa laki moja,yaani rumu 2,Choo,bafu ,sebule,na bado zinashuka
Ni mwendo wa kuamia DodomaMi nasubiri kurithi michepuko tu.. maana walipa kodi wa fremu za kuuzia chupi hali tete, JPM kamua baba tuko pamoja..
Naona anguko la bongo movie na watoto wazuri wa dar es salaam..
Ni mwendo wa kuamia Dodoma[/QUOT
ni dar mpaka dom, yaani na huko dodoma ndio maisha yatazidi kuwa magumu maana jamaa ndio atawakaba vizuri pale maana padogo akiamka tu hazina ile anaiona pale, ukizingatia pia anawale wataalamu wa ict kutoka Rwanda yaani ni full kukaba, michepuko hali mbaya, watoto wamjini wachache ndio tutasurvive maana tulishazoea kuern through hard working wale Wazee wa mtelezo kazi wanayo..
Nyumba Dar es Salaam inauzwa kwa thamani sawa na Beverly Hills, nchini Marekani. Wapigaji, wakwepa kodi na mafisadi ndipo walipotufikisha hapa.![]()
Namshauri mtu yeyote anayetaka kununua nyumba ama kiwanja hasa Dar es salaam asubiri kidogo tu mwezi wa 9 Majaliwa akihamia Dodoma,Nyumba zitashuka bei sana,madalali watakosa kazi na ajira za wamasai,Walinzi na mbwa zitaongezekabmaana majumba yatafungwa.
Nakwambia mpaka sasa wamiliki wameteremsha bei kidogo lakini watashusha tu,Hamna shaka.
Serikali inahama tu,Na sala na maombi yote Mungu ampe Uzima na Afya Hon. Magufuli ahamishe mapema,Watu tuishi kama malaika na mashetani waondoke.
Nyumba za self container juzi jumapili nimepata sinza kwa laki moja,yaani rumu 2,Choo,bafu ,sebule,na bado zinashuka
Ushaambiwa popote ulaya pesa yako tu ( maneno ya waswahili hayo )
Mwache ajishaue mwenzie alikuwa anapangisha inaswimming pool katoka mil4 mpaka laki 4
Kweli soko la real estate Dar [na Tanzania kwa ujumla] liko out of control kabisa.