V8 milion 120,na mpaka m80 zipo,afu unaposema Land rover ni kiwanda cha magari,sasa sijui unamaanisha gari aina gani,Difender? 109?freelander?Vogue?au unataka gari gani za Land Rover?
hapana kaka ile vX ina aic nk ulajibwake ni mkubwa sana mfano noah inaweza kwenda km13 kwa lita moja ila kwa prado labda km 4 kwa lita kaka ile machine kubwa
hapana kaka ile vX ina aic nk ulajibwake ni mkubwa sana mfano noah inaweza kwenda km13 kwa lita moja ila kwa prado labda km 4 kwa lita kaka ile machine kubwa