Bei za mabasi

Mkuu, hapa inabidi uwe specific. Kwanza, Marcopolo si aina ya basi, bali ni kampuni ya kutengeneza bodi za mabasi yenye makao yake makuu nchini Brazil. Mabasi yanayotumika Tanzania yakiwa na bodi za Marcopolo ni Scania, Mercedes-Benz na Tata. Pili, Yutong ina aina (model) nyingi za mabasi ingawa aina inayotumika sana Tanzania ni ZK6116D (yenye injini mbele).
Mabasi mazuri ya yutong kwa africa ni F12 yenye namba zinazo ishia 120D1
 
Kama unapenda biashara ya magari nakushauri nunua truck bus kwa MTU anaeanza ki kizunguzungu nunua truck upate dollar km uko serious nichek 0688 3727 77 nikupe mwelekeo
 
brother si kila mwenye kiasi fulani cha fedha anajua kila kitu. actual isingeshindikana kujua lakini ukiuliza JF hupewi tu jibu unalotaka bali na changamoto za kitu unachoulizia. Humu ndani kuna watu wana experience za ajabu na wamejificha kwenye fake IDs
Kweli kabisa
 
Kitu ambacho hatujafahamishwa vema, bei halali ya Yutong hadi inatembea barabarani ni Tsh ngapi? Hapa tunaulizia Yutong jipya kabisa engine mbele!
Kuna watu wabobezi wa mabasi ya abiria
cc:Falcon Mombasa
 
Mkuu wekeza kwenye Ardhi haya mambo ya magari utalia tu hebu tafakari ile serekali, ale dereva, ale konda au tani boi, ile gari yenyewe, ale trafiki, ale teja...kwako itafika sound tu...na gari ikiharibika humuoni mlaji hata mmoja kati yao, hiyo ni yako ni heri hata utoboe ardhi upate maji
 
sijaona hata mmoja anaetoa mchanganuo hilo basi YUTONG litakuwa linaingiza pesa kiasi gani kwa siku/wiki/mwezi/mwaka
litatumia matairi mangapi kwa mwezi/mafuta/mishahara ya madereva na utingo/matengenezo/insurance etc

angalia usiwekeze 300m ili upate LAKI SABA kwa siku!
KWANI LAKI 7 KWA CKU NI HELA NDOGO HY; NA HAUONI KAMA DURABILITY YA GARI NI MIAKA 2 C HELA YAKE MILIONI MIA 3 ZITAKUWA ZIMEREJEA! !?
NA PIA KAMA ANAUWEZO WA KUPATA HY LAKI 7 KILA CKU HAUONI KUWA ANAWEZA KUWEKEZA KWENYE KILIMO KWA HIZO LAKI 7 ZA KILA CKU !!
NNACHOPENDEA BIASHARA YA GARI HELA YAKE YA KILA CKU WAWEZA INVEST KWINGNEKO AS POSSIBLE AS YOU CAN. ...
 
Hii mada ni ya Mwaka juzi hivi mtoa mada tunaomba alete mrejesho.
Kwa wajuzi na wazoefu naomba kuuliza kuhusu usafirishaji abiria kwa kutumia Min-buses za TATA kwenda mawilayani, changamoto zake na faida yake ikoje?
 
Hesabu ya bosi kwa bus la tata au eicher kwa siku ni 300,000
Kama kwa mwaka gari inafanya kazi siku 300 inakuwa 300,000*300=90,000,000.
Hizo siku 66 zilizobaki gari inakuwa mapumziko au service.
Mkuu kama una uzoefu naomba kuuliza kuhusu usafirishaji abiria kwa kutumia Min-buses za TATA kwenda mawilayani, changamoto zake na faida yake ikoje?
 
Kila biashara ina risk mkuu.
Uzuri wa biashara ya usafirishaji ni lazima watu wasafiri. Hivyo una uhakika wa wateja.
Tata zinalipa... Ila inahitaji uwe mvumilivu na faida yake huonekana in a long run.
Ukijipanga vizuri unaweza kufanya kitu kikubwa.
Biashara hii haitaki udokozi na inahitaji uwe Unajua kulihudumia gari.
All in all ni biashara nzuri.
Mkuu kama una uzoefu naomba kuuliza kuhusu usafirishaji abiria kwa kutumia Min-buses za TATA kwenda mawilayani, changamoto zake na faida yake ikoje?
 
Kila biashara ina risk mkuu.
Uzuri wa biashara ya usafirishaji ni lazima watu wasafiri. Hivyo una uhakika wa wateja.
Tata zinalipa... Ila inahitaji uwe mvumilivu na faida yake huonekana in a long run.
Ukijipanga vizuri unaweza kufanya kitu kikubwa.
Biashara hii haitaki udokozi na inahitaji uwe Unajua kulihudumia gari.
All in all ni biashara nzuri.
Thanks mkuu.
 
JF inapendeza sana kuwa na washauri wazuri namna hii mbali ya wale vijana wa kila siku ngono!!
 
Back
Top Bottom