Kisu kimefika mfupani, Hamkani hali si shwari!!
Mie ni Muumini wa Ukweli Na kwenye Masuala ya Uchumi sijawahi kukubali Mikakati ya Serikal Ila wakati Mwingine huwa naona Sawa ili watu waelewe Kwanini mifumo ya awamu ya kwanza ya Kibabe iliua Uchumi lakin Bado tunaisifia