mkuu kule kwetu lushoto hotel jina lingine ni mgahawa, ndivyo tulivyozoea wasambaa kuita,
ila sasa ki'professional hotel zinatofautiana hadhi, kuna 3star, five star nk, hivi ni viwango vya kimataifa, na ndani ya hotel yenyewe kuna tofauti ya hadhi ya vyumba, kuna executive rooms na vya kawaida, sasa sijui unazungumzia hotel ya aina gani, isije ikawa unazungumzia hotel kwa maana ya guest kama wengine walivyozoea kuita.
bila kuta kijumla hotel dar, jaribu kutaja hata jina la hotel uliowahi kusikia maana kwetu dar bwana kuna lodge zinaitwa hotel kisa ni jengo la gorofa, hahahahahhaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.