Gastar Sultan
Member
- Nov 24, 2014
- 15
- 0
Habar gani jamani wanajamii forum nafikili wote wazima tena wa afya ila jaman kunatatizo kidogo nilikuwa naomba kuxaidiwa jaman kuna waya unaitwa Ethernet cable unatumika kwenye computer kwa ajili ya internet so wadau km kuna mtu anafahamu nitaupata wap na kwa shilling ngapi tafadhali naomba anixaidie wadau