Kwenye 1300 ivi kama sijakosea...maana walishusha bei miezi kadhaa nyumaWakuu nilikuwa naomba kujua kuwa Bei ya unit moja ya maji kwa Dar es Salaam ni kiasi gani?
DAWASCO
Natanguliza shukurani nyingi
Ndio maana yake mkuu..Ina maana kwa mujibu wa eddy mhando na jebs2002 unit moja ni lita 1000 inayotozwa 1300. Hapo ni viwango vya dawasco
Hahahahaha..., cha kushangaza kwa upande wangu, ni pale wanapozinduwa visima vya maji, kutunisha vifuwa na tabasamu kubwa sana! Kama vile maji yanatirika bafuni au jikoni kwako! Wao yakitoka nje na ukachota kwa ndoo mchezo umeisha! TZ bado safari ndefu, DAWASCO wanatunyima haki zetu waziwazi kabisa..huko DSM mkisema DAWASCO! Mnamaanisha vazi la aina gani? Au ni matunda mapya?
Vuta bomba mkuuSafi kabisa, kwahiyo kwa hesabu za haraka haraka, kila lita ya DAWASCO ni TZS 1.7, ila mitaani tunapigwa sana, hasa na wauza maji..
Wenye nyumba wanataka kupatia faida humo humo....ukiishi kwenye nyumba yako...gharama zisizo rasmi unaziepukaBado maji yanayosambazwa na dawasco nighali sana mfano mkoani kigoma nyumba inawapangaji zaidi yafamilia 4 lakini Bado bili yamaji ikija wanachangia kila familia 2500 kwamana ni elfu10 tu kwa mwenzi nyumba nzima wakati kwa hapa Dar hiyo elfu10 ni yampangaji wa chumba kimoja tu
Tayari mkuu..asante, ila kufunga kazi kisima, nachanga nichimbe kabisa, nipate yale maji baridi safi kabisa..Vuta bomba mkuu
Hasa Sinza, Kinondoni, Magomeni...Walee wapangaji wa vyumba, watoto wamjini, wale ndio wanawapa kula ya kufa mtu wachota/wabeba maji, Sinza maji ya DAWASCO nafikiri ni 500/= kwa dumu la lita 20 ua labda yameshuka..Kumbe biashara ya maji inalipa sana
Vipi umeshaenda kupata mchanganuo wa gharama?Tayari mkuu..asante, ila kufunga kazi kisima, nachanga nichimbe kabisa, nipate yale maji baridi safi kabisa..
Tayari mkuu, siyo tatizo, tatizo kila nikichanga kuna issue inatokea, kama sio harusi, basi ada, kama sio ada basi magonjwa, kama sio magonjwa basi wazazi, shida kabisa...Vipi umeshaenda kupata mchanganuo wa gharama?
Mkuu zingange ukiwa tayari niambie tukuchimbieTayari mkuu..asante, ila kufunga kazi kisima, nachanga nichimbe kabisa, nipate yale maji baridi safi kabisa..