Josaje Mtui
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 2,468
- 2,181
900
Hamna shaka mkuu, asante..Mkuu zingange ukiwa tayari niambie tukuchimbie
Yap, nafikiri waongelea kwa mtindo wa "Prepayment", kama ununuavyo vocha za simu, tatizo mkuu hayo maji ya DAWASCO hayana uhakika kabisa kabisa, yakitoka leo subiri siku 3! Sasa sijuwi kama sisi wateja na wao tutafaidika kivipi?! Ila yetu macho...Hawa DAWASCO walitangaza kuwa wanafungia watu maji na watakuwa wanakukata pale unaponunua sijui imeishia wapi hii kitu..
ndo shida hiyo mkuu ila hamna namnaYap, nafikiri waongelea kwa mtindo wa "Prepayment", kama ununuavyo vocha za simu, tatizo mkuu hayo maji ya DAWASCO hayana uhakika kabisa kabisa, yakitoka leo subiri siku 3! Sasa sijuwi kama sisi wateja na wao tutafaidika kivipi?! Ila yetu macho...
ShukraniHamna shaka mkuu, asante..
Lita 1000Unit 1 ni lita 100 au 1000? Tunabishana na mluguru mmoja hapa.
Asante mkuuLita 1000