Bei ya sukari yapanda ghafla kulikoni?

Bei ya sukari yapanda ghafla kulikoni?

chameleon

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2013
Posts
555
Reaction score
170
Sio siri bei ya sukari imeongezeka toka Shs 2400 mwaka jana hadi kufikia Tsh 4000 bei ya reja reja hapa Dsm ikiwa ni ongezeko la Tsh 1600 sawa na asilimia 67.
Wako wapi wachumi wetu mtusaidie maana wenyenchi tumelia hadi machozi yameisha
 
Kipindi hiki cha Mvua uzalishaji wa Sukari unachangamoto kidogo hasa kuanzia kwenye kuvuna Miwa, kuchoma Miwa inakuwa changamoto, miundombinu ya ufikaji shambani na mwisho kabisa Mvua ikinyesha ile Sukari kwenye Muwa hushuka chini kwenye Kikonyo so wakivuna hivi inakuwa ni hasara
 
Sasa mpendwa wangu hapo wachumi tutafanya nini? Mnona watuonea? Au hujui profeesionalism is less prioritized compared to politics for most of the sub Saharan african countries? Umenieleewa??
 
Hiyo ndiyo sababu sukari ipande kwa 68%

Ccm inapenda sana watu wapumbavu km nyie
Kipindi hiki cha Mvua uzalishaji wa Sukari unachangamoto kidogo hasa kuanzia kwenye kuvuna Miwa, kuchoma Miwa inakuwa changamoto, miundombinu ya ufikaji shambani na mwisho kabisa Mvua ikinyesha ile Sukari kwenye Muwa hushuka chini kwenye Kikonyo so wakivuna hivi inakuwa ni hasara
 
Sio siri bei ya sukari imeongezeka toka Shs 2400 mwaka jana hadi kufikia Tsh 4000 bei ya reja reja hapa Dsm ikiwa ni ongezeko la Tsh 1600 sawa na asilimia 67.
Wako wapi wachumi wetu mtusaidie maana wenyenchi tumelia hadi machozi yameisha
Ujue kuna mnene anahusika
 
Sio siri bei ya sukari imeongezeka toka Shs 2400 mwaka jana hadi kufikia Tsh 4000 bei ya reja reja hapa Dsm ikiwa ni ongezeko la Tsh 1600 sawa na asilimia 67.
Wako wapi wachumi wetu mtusaidie maana wenyenchi tumelia hadi machozi yameisha
Kuna wahuni huwa wanaenda kiwandani wananunua sukari yote wanafungia kwenye maghala ikiadimika ndo wanapandisha wanauza bei za juu.
 
Kipindi hiki cha Mvua uzalishaji wa Sukari unachangamoto kidogo hasa kuanzia kwenye kuvuna Miwa, kuchoma Miwa inakuwa changamoto, miundombinu ya ufikaji shambani na mwisho kabisa Mvua ikinyesha ile Sukari kwenye Muwa hushuka chini kwenye Kikonyo so wakivuna hivi inakuwa ni hasara
Sure
 
Kipindi hiki cha Mvua uzalishaji wa Sukari unachangamoto kidogo hasa kuanzia kwenye kuvuna Miwa, kuchoma Miwa inakuwa changamoto, miundombinu ya ufikaji shambani na mwisho kabisa Mvua ikinyesha ile Sukari kwenye Muwa hushuka chini kwenye Kikonyo so wakivuna hivi inakuwa ni hasara
Sio sababu walitakiwa kufacilitate import bila kodi kabla
 
Sio siri bei ya sukari imeongezeka toka Shs 2400 mwaka jana hadi kufikia Tsh 4000 bei ya reja reja hapa Dsm ikiwa ni ongezeko la Tsh 1600 sawa na asilimia 67.
Wako wapi wachumi wetu mtusaidie maana wenyenchi tumelia hadi machozi yameisha
Kipindi hiki viwanda vya ndani havizalishi viko mapumziko na service.
Tegemeo kubwa ni waagizaji wenye vibali ambao nadhani supply haitoshi.. Na hali itakuwa mbaya zaidi IDD

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio siri bei ya sukari imeongezeka toka Shs 2400 mwaka jana hadi kufikia Tsh 4000 bei ya reja reja hapa Dsm ikiwa ni ongezeko la Tsh 1600 sawa na asilimia 67.
Wako wapi wachumi wetu mtusaidie maana wenyenchi tumelia hadi machozi yameisha
Ni profesa Janabi ameishinikiza Serikali kupandisha ili kupunguza utumiaji wa sukari kuokoa maisha yenu. Pia yuko mbioni kushinikiza Serikali kuongeza bei ya nyama. Jamaa namkubali sana anawasaidia kuishi maisha yenye afya na furaha.
 
Kipindi hiki cha Mvua uzalishaji wa Sukari unachangamoto kidogo hasa kuanzia kwenye kuvuna Miwa, kuchoma Miwa inakuwa changamoto, miundombinu ya ufikaji shambani na mwisho kabisa Mvua ikinyesha ile Sukari kwenye Muwa hushuka chini kwenye Kikonyo so wakivuna hivi inakuwa ni hasara
Awawezi kukuelewa
 
Kuna wahuni huwa wanaenda kiwandani wananunua sukari yote wanafungia kwenye maghala ikiadimika ndo wanapandisha wanauza bei za juu.
Uzalishaji mdogo tu hakuna mwenye uwezo wa kulangua sukari yote inayo zalishwa viwandani
 
Back
Top Bottom