Tumbili wa Mjini
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 3,944
- 8,154
Bila picha ni uzushi
Sasa kwa nini ya nje isiruhusiwe kwa wingi?Kipindi hiki cha Mvua uzalishaji wa Sukari unachangamoto kidogo hasa kuanzia kwenye kuvuna Miwa, kuchoma Miwa inakuwa changamoto, miundombinu ya ufikaji shambani na mwisho kabisa Mvua ikinyesha ile Sukari kwenye Muwa hushuka chini kwenye Kikonyo so wakivuna hivi inakuwa ni hasara
Huu ni uchochezi, bei kupanda kwa hicho ki asilimia 67 tu tayari unalalamika, Mama anaupiga mwingi mpaka unamwagika, akimaliza hii anayomshikia Hayati Mwenda apewe ya kwake 10 sasa.Sio siri bei ya sukari imeongezeka toka Shs 2400 mwaka jana hadi kufikia Tsh 4000 bei ya reja reja hapa Dsm ikiwa ni ongezeko la Tsh 1600 sawa na asilimia 67.
Wako wapi wachumi wetu mtusaidie maana wenyenchi tumelia hadi machozi yameisha
Maji ni kwa ajili ya kiu, sio njaaFateni ushauri wa Janabi...punguzeni kula ukisikia njaa kunywa maji
Muulize bingwa huyo wa afya..alikua ITV Juzi aliyaongea hayoMaji ni kwa ajili ya kiu, sio njaa
Hiyo sukari mnayo nunua huko dar... Ni sukari ya wapi!?... Ama Sukari ya Zuchu!?... Ndio inauzwa hiyo bei!?Sio siri bei ya sukari imeongezeka toka Shs 2400 mwaka jana hadi kufikia Tsh 4000 bei ya reja reja hapa Dsm ikiwa ni ongezeko la Tsh 1600 sawa na asilimia 67.
Wako wapi wachumi wetu mtusaidie maana wenyenchi tumelia hadi machozi yameisha