njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,675
Vita ya ukraine imeendelea kuiumiza nchi ya Tanzania kwani karatasi toka china zimepanda bei kwa kasi ya kutisha almost asilimia 100, haijulikani kama stock iliyopanda bei inatoka Russia au ukraine au China nayo imeathirika na vita hivyo