dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,401
- 15,980
- Thread starter
- #21
Punguza pombe kijana wekeza kwenye ujenzisawa mkuu. Lakini pombe imeingiaje kwenye ujenzi?
Punguza pombe kijana wekeza kwenye ujenzisawa mkuu. Lakini pombe imeingiaje kwenye ujenzi?
Kamal na still centerToka kiwanda gani
Uko mkoa gani mkuu mnk hyo Bei ni rafik snaJuzi kati nitoa oda ,nikatumiwa kotesheni ya nondo mm 10, 17500kwa moja na cement simba 32.5 kwa tsh 16500 kwa kila mfuko.
Hpn usiige watu jitahid San kwa hiloHapo ndo huwa siwaelewagi watu ..
Kuna watu ni malaya, chapombe na wamejenga
Mimi naona tusihusishe hayo na ujenzj
Unaweza ukawa sahih kbsa mnk dah vifaa vilipanda walaiMega project kama ujenzi wa Bwawa la kufua umeme la Nyerere, Reli,madarasa, Zahanati,Madaraja zinafika ukingoni na nyingine kukamilika. Hii miradi ndio iliosababisha bei za saruji na nondo kupata.
NyumbnaniHizo nondo ni imported au za nyumbani?
Dr Namugari hii bei umeifanyia research Kona zip dsm?Unaweza ukawa sahih kbsa mnk dah vifaa vilipanda walai
Tatizo la Bongo,watu waliojenga huwaona wasiojenga hawana akili Wala malengo.Maana hata walokole hawajajenga, maudhistazi kibao wamepanga magetto ya watu.
kujenga nimeshajenga mkuu.... swali langu ni kwamba pombe imefikaje kwenye ujenzi?Punguza pombe kijana wekeza kwenye ujenzi
mwenyewe nimemuuliza pombe inaingiaje kwenye ujenzi hajanijibu badala yake kasema punguza pombe kijanaTatizo la Bongo,watu waliojenga huwaona wasiojenga hawana akili Wala malengo.
Unamsikia mtu anakupa ushauri," Bro,hiyo elfu 50 uliyokula Bata Jana si unapata miufuko miwili ya cement? Hapo umetumia zaidi ya matofali 70".
Unabaki kumshangaa tu na kujiuliza,hivi matofali 70 naweza kujenga nyumba na kuhamia kwangu kweli?
Kuna jamaa hapo juu kamuuliza mleta mada,mbona maostadhi na wachungaji kibao tu hawanywi pombe Wala umalaya hawafanyi lakini hawajajenga? Hajajibu.
Hapo poa. Kumbe mambo mazuriKamal na still center
Vipi Bei ya viwanja hapo dom chamwino ipoje?Wakuu mm huwa Ni mdau ya maswala ya ujenzi na pia Ni mshauri wa Mambo ya umeme wa majumbani na mabomba pia
Sasa ktk mwezi huu wa tatu Toka uanze bei ya vifaa muhimu vya ujenzi inaporomoka Bei that is very good
Mfano kwa mkoa wa dodoma Bei ya nondo milimiter 12 imeshuka ghafla na kufikiaa shilingi million 2,020,000 kwa tani moja yenye piss 94 ,tofauti na mwaka jana Hadi kufikia mweZ wa pili mwaka huu Bei ilisimamia kucha sna kwa tani moja kuuzwa Hadi milioni 2300,000 kwa pisi hizo hizo 94 na na sis wadau wake kuanza kuogopa sana kutrade au na kupeleke baadhi ya wafanyabiasha kununua mzigo mkubwa wakijuwa kuwa itazidi kupanda na kufikiaa shilingi 2.5m kwa tani Hali imekuwa tofauti Sana kwani kila kukicha Bei inabadilika
Bei nilizo zitaja hapo Ni zajumla jumla kwa wa watu wa reja reja itakupaza ulipa Kati ya 24500 kwa piss moja ya nondo
Sasa hofu yangu naona kbsa inazidi kushuka Sana kwa Kasi ya ajabu kila siku napewa update za Bei na leo nimepata dili la tani tano nawaza kusubiri angalau hadi kufikia mwezi wa nne itafikia milion 1.8 huwenda ikarudi Bei ya zamni
Vifaa vingine vya ujenzi zilo shuka na kupanda Bei ni kam
Wall putt white skimm Bei imepanda kufika 21000 kwa mfuko wa kg 25
Na cement imependa imeshuka ghalfa kwa shilingi 18500 kwa mfuko wa kg 50 za dangote cement
Rai kwa vijan acheni pombe jengeni makazi yalio Bora Kia's hicho hicho ulichonacho Anza ujenzi acheni pombe na umalaya finally uzeeni
Mwisho kbsa naomben taarifa za vifaa hvyo kwa mikoani huko kukoje ili niweze ku trade according
Nawasilisha kwa Sasa ddoma chamwino
Chunguza urefuWakuu mm huwa Ni mdau ya maswala ya ujenzi na pia Ni mshauri wa Mambo ya umeme wa majumbani na mabomba pia
Sasa ktk mwezi huu wa tatu Toka uanze bei ya vifaa muhimu vya ujenzi inaporomoka Bei that is very good
Mfano kwa mkoa wa dodoma Bei ya nondo milimiter 12 imeshuka ghafla na kufikiaa shilingi million 2,020,000 kwa tani moja yenye piss 94 ,tofauti na mwaka jana Hadi kufikia mweZ wa pili mwaka huu Bei ilisimamia kucha sna kwa tani moja kuuzwa Hadi milioni 2300,000 kwa pisi hizo hizo 94 na na sis wadau wake kuanza kuogopa sana kutrade au na kupeleke baadhi ya wafanyabiasha kununua mzigo mkubwa wakijuwa kuwa itazidi kupanda na kufikiaa shilingi 2.5m kwa tani Hali imekuwa tofauti Sana kwani kila kukicha Bei inabadilika
Bei nilizo zitaja hapo Ni zajumla jumla kwa wa watu wa reja reja itakupaza ulipa Kati ya 24500 kwa piss moja ya nondo
Sasa hofu yangu naona kbsa inazidi kushuka Sana kwa Kasi ya ajabu kila siku napewa update za Bei na leo nimepata dili la tani tano nawaza kusubiri angalau hadi kufikia mwezi wa nne itafikia milion 1.8 huwenda ikarudi Bei ya zamni
Vifaa vingine vya ujenzi zilo shuka na kupanda Bei ni kam
Wall putt white skimm Bei imepanda kufika 21000 kwa mfuko wa kg 25
Na cement imependa imeshuka ghalfa kwa shilingi 18500 kwa mfuko wa kg 50 za dangote cement
Rai kwa vijan acheni pombe jengeni makazi yalio Bora Kia's hicho hicho ulichonacho Anza ujenzi acheni pombe na umalaya finally uzeeni
Mwisho kbsa naomben taarifa za vifaa hvyo kwa mikoani huko kukoje ili niweze ku trade according
Nawasilisha kwa Sasa ddoma chamwino
Dodoma mkuuDr Namugari hii bei umeifanyia research Kona zip dsm?
Acah kukariri maisha za watu na kuiga watu wannamipangoTatizo la Bongo,watu waliojenga huwaona wasiojenga hawana akili Wala malengo.
Unamsikia mtu anakupa ushauri," Bro,hiyo elfu 50 uliyokula Bata Jana si unapata miufuko miwili ya cement? Hapo umetumia zaidi ya matofali 70".
Unabaki kumshangaa tu na kujiuliza,hivi matofali 70 naweza kujenga nyumba na kuhamia kwangu kweli?
Kuna jamaa hapo juu kamuuliza mleta mada,mbona maostadhi na wachungaji kibao tu hawanywi pombe Wala umalaya hawafanyi lakini hawajajenga? Hajajibu.
Punguza,apombe jenga apartment saskujenga nimeshajenga mkuu.... swali langu ni kwamba pombe imefikaje kwenye ujenzi?
Yah exactlyKwa hiyo vijana wajenge kisa bei ya nondo imeshuka?
Nimefika kwa dharura tu mzee ingawa Bei siyo juu sna Bado ziko nyingi sna za milion 2Vipi Bei ya viwanja hapo dom chamwino ipoje?